kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,875
Dah zinaa imedhihiri ,shetani mbona unatupeleka kasi sana kwenye hii dhambi. Vijana tubadilike kuanzishwa kwa threads kama 3 au 4 zote zikiwa na maudhui ya zinaa si afya kwa ufalme wa Mungu. Baba tunusuru waja wako