Taja Wachezaji ambao wamewahi kucheza pamoja Klabu mbili tofauti

Taja Wachezaji ambao wamewahi kucheza pamoja Klabu mbili tofauti

Kuna wanasoka wamewahi kucheza pamoja kwenye klabu mbili au zaidi za soka pamoja!
Ikumbukwe hapa hatuhusishi timu za taifa.
Leo tuwataje wanasoka hao na vilabu tofauti walivyocheza pamoja!

Naanza na Cristiano Ronaldo ambaye amecheza pamoja na Sami Khedira Real Madrid na Juventus.

Unaweza ukaendeleaaaa...
1.Mo Ibrahim,kichuya ,mzamiru, Ally shomary na Dilunga (Mtibwa na simba)
2.Miraj Athuman na Haruna shamte (Lipuli na simba)
3.Haruna shamte na kichuya (simba na namungo)
4.Jafari Mohammed na k.Yondani (Yanga na namungo)
5.Ajibu na Gadiel (Yanga na simba)
6.Adeyum saleh na mwamnyeto (Coastal union na Yanga)
7.Yusufu magoma na Salum kipaga (singida united na Gwambina)
8.Kelvin kongwa na Benedict (Mtibwa na kagera)
9.Nchimbi na mstafaa (Polisi Tz na Yanga)
10.Bocco, Manula,Kapombe, Gadiel,Nyoni na Wawa (Azam na simba)
11.Dan lyanga na kazimoto (Simba na Jkt Tanzania)



12.Wes brown na john O'Shea (Man u na Sunderland)
13.Willian na David luiz (Chelsea na arsenal)
14.Cr7 ,Morata na khedeira (Madrid na juve)
15.Hazard na Thibout (Chelsea na Madrid)
16.Sanchez ,lukaku,Young (man u na inter)
17.Lambert na lalana (Southampton's na Liverpool)
18.Macherano na Tevez (Bocco junior na westham )
19.Mo salah na Alson Becca (Roma na Liverpool)
20.Ngolo kante ,Dan Drinkwater (Leicester na Chelsea)
21.Vamalern na fabrigus (Arsenal na Barcelona)
22.Filipe luiz na Diego coster (Chelsea na Atletco)
23.Yermina na Andre Gomez (Barcelona na Everton)


24.Kaseja,Deo munishi na Ally Mustafa (Simba na Yanga)
25.Kagereeeee, Joash Onyango na Kahata (Gor mahia na Simba)
26.Tonombe na kisinda (As vita na Yanga)
27.Tim Howard na Luis saha (Man u na Everton)
28.Marcel kaheza na rashid juma (Simba na Polisi Tz)
29.Sakho na Benteke (Liverpool na Cristo palace)
30.Adebayor,nasri,Kolo ture (Arsenal na man city)
31.Etoo na Pedro (Barcelona na Chelsea)
 
Emmanuel Okwi na Haruna Niyonzima... Simba + Yanga

Juma Kaseja na Kelvin Yondani... Simba + Yanga

Mkitaryan na Smalling... Man u + Roma
 
1-Cr7 &Morata(R.Madrid x Juve)
2-Cr7&Khedira(R.Madrid x Juve)
3-R.Lewandowski & Mario Gotze(Bvb x Bayern)
4-Eddin Hazzard & Courtios(Chelsea x R.Madrid)
5-Sadio Mane & Virgil Vandaek( Southampton & Liverpool)
6-David Degea & Ander Herrera (At.Madrid x Man U)
7-Ashley Young,Lukaku & Sanchez (Inter Millan x Man U)
8-Chriss Smalling & Mikhitaryan( Man I x Torino)
9-Aish Manula &Bocco(Simba x Azam FC)
10-Shomari Kapombe,Manula &Bocco(Simba Azam FC)
11-Szceny & Ramsey(Arsenal xJuve)



Wapo wengi bro hata tukiwataja hawawezi kuisha hapo kwa haraka tunimeshataja zaidi ya 20!
Daah simple sana

Zlatan Ibrahimovic na Maxwell wamecheza kwa pamoja katika vilabu vifuatavyo;

Ajax
Barcelona
Ac Milan
PSG
Mmeua
 
1) Lambert na Lalana.(Soton na Liverpool)
2) Mane na VVD ( Soton na Liverpool
3) Salah na Alison ( Roma na Liverpool
4) Baloteli na Milner ( Man City na Liverpool
5) Benteke na Sakho ( Liverpool na C Palace
6) Countho na Luis Suarez (Liverpool na Barcelona
7) Yermina na Gomes ( Barcelona na Everton
8) CR7 & Khedira & morata ( Real Madrid na Juve
 
Kuna wanasoka wamewahi kucheza pamoja kwenye klabu mbili au zaidi za soka pamoja!

Ikumbukwe hapa hatuhusishi timu za taifa.

Leo tuwataje wanasoka hao na vilabu tofauti walivyocheza pamoja!

Naanza na Cristiano Ronaldo ambaye amecheza pamoja na Sami Khedira Real Madrid na Juventus.

Unaweza ukaendelea.
Cristiano Ronaldo na Varane Real Madrid na Man Utd
 
Ronaldo & Luis Figo ~ Barcelona & Real Madrid

Thibaut Courtois & Diego Costa ~ Atletico Madrid & Chelsea

Tevez & Patrice Evra ~ Man Utd & Juventus
 
Kelvin Yondani &Tariq seif kiakala
Aishi Manula & John Bocco
Ibrahim Ame & Hamis Said Ndemla
Ducapel Moloko & Djuma Shabani
Gadiel Michael & Beno David Kakolanya
 
Adam Selemani na juma limonga walitoka wote reli ya Morogoro wakacheza Simba sports club.

Michael kidilu na seleman methew walicheza tukuyu stars wakacheza wote Simba sports club.

Raphael Paul na John makelele zig zag ,walicheza pamba ya mwanza wakakutana Simba sports club...

Zamoyoni mogela na Ramadhan Lenny walicheza fanja FC ya Oman wakacheza pamoja Simba.
 
Back
Top Bottom