[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28] wamekuelewa bila shaka.Haya bhana! Shukran lakini kwani ukiona kati ya Members jumla wa JF 300,000 na Wewe unajulikana na kutambulika hivi jua ya kwamba una vitu ' adimu ' na una ' umuhimu ' wako Jamvini. Ambao hamjatajwa wala msichukie tatizo ni ' Nyota ' zenu ni za ' Bundi ' ndiyo maana hamna ' mvuto ' na wala ' hamtambuliki '. Hivi kiukweli utakuwaje ' Purely Talented and Charismatic Fella ' halafu usiwe na ' thamani ' ya Kutukuka kabisa humu JF?
Kama nawaona vile ' mtakavyofyatuka ' huko mliko ' mapangoni ' baada ya GENTAMYCINE kuliamsha ' Dude ' kwa kuwachokoza.
Wewe ndiyo umejua leo Mkuu? Tena napenda Sifa kuliko hata Kocha Jamhuri Kihwelo Julio Perreira Tarantini Kulula Dot Com Mourinho Gwata Gwang Chamba Wima.
Siju una jingine tena Wewe ' muwashwaji ' Mkuu!
Hujamtendea haki CHIEF MKWAWA jukwaa sayansi na tekelinalokujia na bingwa wa kutokutoa likes JF nzima.
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28] wamekuelewa bila shaka.
Asante mkuu!Jukwaa la Jokes/Utani kuna jamaa huyu hatari sana.
Red Scorpion
Kiongozi majukwaa mengine stress tupu .... maisha mafupi stress za nini?Red Scorpion jukwaa la jokes. Huyu jamaa sijawahi kumuona jukwaa jingine zaidi ya hilo. Sijui ana hisa Kule au alikatazwa kuchangia majukwaa mengine!!!!!