Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,639
- 2,752
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TumetagikaUmeshindwa kuwatag!!
Wanafanya vizuri kwenye nini?
1.mkwepu jr bado anabaki kuwa kamanda,mwepesi kuelewa,mtu anayehishimika na Mambo yanazidi kuwa ya nguvu kwa ajili yake, rafiki wa wote na ana uzoefu
2.kijana wa Leo naye Ni kisanga anajua jua Sana
3.infrant soldier Bado Ni balaa Yuko vizuri
4.smart911 unforgettable
5.team 666 Ana uwezo mkubwa
6.bujibuji naye wa kumwangalia
7.dk.mwifa mtu wangu
8.mshuza 2 Naye Ana Mambo makali
9.mshipa
10.credit analysis,mshana jr,the boss,mo11 na wengine Wengi natamani kuendelea kufanya kazi na nyie
Kujichua.
Wanafanya vizuri pm!Wanafanya vizuri kwenye nini NJ
😆😆😆jamaniWanafanya vizuri pm!
Hii ndiyo shida ya Kiranga, huwa ana misamiati migumu mno.You are far too kind to this feebly blind mind
A seeker woo finds, glory behind
Humble servant with cause, peeling back the mask
Never a better savant like Gauss, feeling what you ask
But that doesn't mean I suffer fools gladly
I hat my pleasant mean, buffer tools madly
Upping the ante, with savoir faire
Internal inferno
Popping my Dante, burning, but always fair
With mathematics, theatrics, leaving some scared
Til' geriatrics, no one to compare
Si tumekubaliana maombolezo siku 21 jamani?Hii ndiyo shida ya Kiranga, huwa ana misamiati migumu mno.
Si tumekubaliana maombolezo siku 21 jamani?
Kuna members humu humu wanafanana sn, yn huwa nawafananisha na kiranga majibu yao Gezaulole na Kiranga, huwa nawachukulia km wazee humu jf.[emoji2956]
Niseme tu ukweli kiranga ndio alinifanya nikawa member wa jf 2016
Huko nyuma nilikua mnyapiaji tu !
Jamaa ana maarifa Sana Niko below 35 yrs lakini anavyojibu Ni Kama dingi yangu kabisa !
Kuna siku nimemuuliza dingi Kama anatumua jf anatumia jina la kiranga alinijibu Kama kima kiranga[emoji1787]
Kama sio kiranga Basi nimeamini watu wanafanana
Tuanzie Hapo Halafu Ndiyo Ukweli WenyeweWanafanya vizuri kwenye nini?