Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KudemkaWanafanya vizuri kwenye nini?
[emoji16][emoji16][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536][emoji120][emoji2536]Asante sana sana kwa heshima hii..
Kusema kweli sikutarajia kabisa
Iam Humbled[emoji120][emoji8]
Ikija sredi ya kuchoshana Ndege John nakutajaaa.
Unanichosha sana ndege JOHN ila hutakuwa pekee yako.
Nitamtaja na Emmanuel Kasomi anaenisingizia mi ni dume na kunifata fata kila sredi.
Nitawataja ndugu zangu nyie kama mbwai mbwai tu.
Hahahah 🤣🤣🤣 noma sana mkuuIkija sredi ya kuchoshana Ndege John nakutajaaa.
Unanichosha sana ndege JOHN ila hutakuwa pekee yako.
Nitamtaja na Emmanuel Kasomi anaenisingizia mi ni dume na kunifata fata kila sredi.
Nitawataja ndugu zangu nyie kama mbwai mbwai tu.
🤣🤣🤣Watu wakiona una majibu yaliyonyooka utaitwa wa kiume,sijui jinsia ya kike haina hiyo haki ya kunyoosha maelezo?
Kuna muda watu kama ndege JOHN wanahitajika sana humu JF....kuchangamsha jukwaa
Nakutaja wewe Karucee!Ikija sredi ya kuchoshana Ndege John nakutajaaa.
Unanichosha sana ndege JOHN ila hutakuwa pekee yako.
Nitamtaja na Emmanuel Kasomi anaenisingizia mi ni dume na kunifata fata kila sredi.
Nitawataja ndugu zangu nyie kama mbwai mbwai tu.
DuuhYou are far too kind to this feebly blind mind
A seeker woo finds, glory behind
Humble servant with cause, peeling back the mask
Never a better savant like Gauss, feeling what you ask
But that doesn't mean I suffer fools gladly
I hat my pleasant mean, buffer tools madly
Upping the ante, with savoir faire
Internal inferno
Popping my Dante, burning, but always fair
With mathematics, theatrics, leaving some scared
Til' geriatrics, no one to compare
[emoji23][emoji23][emoji23]alaa kumbe alimaanisha hiviNyuzi addictive sio addicted bro.
Tumeambiwa tutaje watu kumi ambao sijui wamefanyaje...nikaona unafit kwenye hao kumi[emoji23][emoji23]Mimi nimefanyeje?[emoji2]
Kwa hiyo hujui sababu? 🤣Tumeambiwa tutaje watu kumi ambao sijui wamefanyaje...nikaona unafit kwenye hao kumi[emoji23][emoji23]
"Watu kumi wanafanya vizuri kwa sasa", sijajua wanafanya vizuri katika nini...ila najua unafanya vizuri so umefit vizuri tu😋Kwa hiyo hujui sababu? 🤣
Kumbe umenichoka.
Nitalipiza. Wait
Bahati Yako."Watu kumi wanafanya vizuri kwa sasa", sijajua wanafanya vizuri katika nini...ila najua unafanya vizuri so umefit vizuri tu😋
Mwezi huu hatulipizi visasi...