Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Wakuu leo nataka tutaje watu watatu ambao wanaokufanya uendelee kuipenda JF kiasi kwamba usipoingia JF unakuwa unawakumbuka sana

Pia hata ukisikia hizi tetesi za huenda huu mtandao wetu pendwa ukifungiwa utawamiss sana

Tukianza na mimi nawakubali hawa

1)Mo 11

Huyu dogo huwa nacheka sana kila nikiona comment yake


2)Le mutuz

Huyu jamaa huwa pia ananifurahisha sana aisee mpaka najiuliza kama alishawahi kuugua ukichaa enzi za utoto wake maana majibu yake na umri wake aisee ni vitu viwili tofauti

3)Brave one

Huyu dogo naye thread zake zimetulia sana ,ukitaka thread za mastaa basi mtafute huyu jamaa mpaka najiuliza huyu jamaa anapataga wapi habari maana zingine ni nyeti sana yani.
Muondoe Le mutuz mkuu
 
espy nimefarijika sana kuona hujatajwa hii inamaanisha nakupenda peke yangu

napenda kusoma unachoandika hasa ukiwa upo serious na sipendi kuchangia naona nitakutoa nje ya mada
hata mada zako pia nazikwepaga naona nitaanzisha mada yangu juu yako
 
list yangu ninaowakubali ni
Kapuku forum wote wakiongozwa na mama mchungaji blessed hope, Quigley, lee, werrason, Bitoz, obe, mondray, Mussolin, Transcend, shululu, Baily 5
Iceman 3d
Bonny
Sumbai
Fakalava
Baba paroko toxic9
The Bold
Lege
Ibra 85
Steve
Nokia 83
Stunter
Ambiele kiviele
Ndumilakuwili
Kcamp na Chief mkwawa
Daby
Clkey
Rogie
Faizafoxy
miss chagga
Nifah
geniveros
jj'es
Dinazarde
Joana
Miss Natafuta
sky el cat
Madame S
Madame B
Sakayo
Mustaphagentleman
Asprin
Raimundo
mtzmweusi
Johnson
Nyani Ngabu
Gentamycine
Bujibuji
Mshana jr
The Boss
BAK
sembo
warumi
Ushimen
Behaviourist
nikikumbuka kesho naendelea na list tena
Thank you mumie [emoji8]
 
My List
Kwa washkaji zangu ni
lee empire
Daby
werrason
CHARMILTON
Bonny
NIYOMBARE adui yangu namba moja kwa J
@Mods wote walio nipa bann
Transcend
Iceman 3D
@Shululu
@Mussolin5
[USER=327659]usser

Saint Ivuga
BAK
And all kapukuz
Kwa madada
joanah
Numbisa
miss charming
Shunie
BlessedHope
CHIKIRA MTABARI
mahondaw
Clkey
Candyscorpion Huyu nahisi ni ubavu wangu uliotolewa sometimes
Paprika
And all kapukuz
Hao ni baadhi ya members ambao wapo na mm tangia najiunga hapa dec 1, shukran za pekee ziwaeendee brothers wa kapuku forum.[/USER]
Mondray chaliake nakupa gwara pia
 
@mod1
@Mod2
@Mod3
@Mod4
Mhariri
@Active
@INNOVATOR

Yaani hawa huwa nawawaza kila ninapotaka kujibu post maana ni wanoko sana hawachelewi kupiga cha kitu cha B.A.N.
 
Back
Top Bottom