Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF



1.Daby(aise huyu bhna kulingana na nyuzi zake bhna namuona kama ni mshkaji kinyama yani kelee uwiii nikiuona uzi wake tu naacha kila kitu nausoma mpka uishe.aise chalaa angu..nakukubali ni mbayaaaa...Arachuga hoye!!!)


2.Jr.mshana(huyu bhana huwa anazungumzia vitu kwa undan.huwa nikiuona uzi wake bhana..huwa nakaa vizur najiuliza leo kaja na nini tena)


3.miss natafuta.(nikisoma comments zake huwa najifunza n hana kuremba)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…