Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,718
- 3,488
Kila mwana member humu kwangu smart thinkers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaya lazima itengeneza faida,Sasa mambo ya kurekodi yanatoka wapi tena
Sadaka hukimbiza wapendwasadaka
Najua hata moyo wangu ni sadaka piaMje na sadaka zenu, Mungu atawabariki sana, sakayo na shunie karibuni sana
Toa sadaka na fungu la kumi uone Mungu atakavyo kufanyia magumu kuwa mepesinimeolewa baba paroko halaf mbona kipaumbele n sadaka ata kama Maandiko yanasema ukitoa Mungu anazidi kukubariki unanitisha baba paroko
Acha kumpotosha mwenzioHehehe
Umeliwa sadaka zako
Hapana my dearhahahhh ulishawahi enda
Yaani, nabii Gabriel kanionekaniaumepatikana mama [emoji23]
Hapana mie sio kondooBabu endelea na kondoo wako sakayo [emoji23]
sana tena kwa watu wanaoweka kipaumbele sadaka kama baba paroko wetuSadaka hukimbiza wapendwa
Sadaka ni moyo wakomm sadaka sina nahisi nitafukuzwa nikifika mlangoni
Fuatilia post yake ya mwisho, alimaanisha yeye kaolewa, hujambo lakiniUmechapia mkuu, anae oa ni baba mchungaji, paroko hawana ndoa.
Samahani mtumishiAcha kumpotosha mwenzio
kutoa sawa sio kwa kuforce kama hivyo tunataka neno sisiToa sadaka na fungu la kumi uone Mungu atakavyo kufanyia magumu kuwa mepesi
hahahhHapana my dear
Hizo habari naonaga tu kwenye tv
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani, nabii Gabriel kanionekania
baba paroko huyu vipiSadaka ni moyo wako
Sie tunajua sadaka ni mioyo yetu, habari za fungu la kumi awaambie kina Mengi na Bakhresasana tena kwa watu wanaoweka kipaumbele sadaka kama baba paroko wetu