Taji Apewe Mshindi wa Tatu

Taji Apewe Mshindi wa Tatu

Hivi baba wa Kiafrika kupiga picha na binti yako akiwa kwenye mavazi haya hii ni adabu ya wapi?

Mbona mbowe alipopiga picha anakula denda mbele ya wanawe mlisema ni mambo ya kawaida!!! Au kunya anye kuku, akinya bata kaharisha? Acheni double standard bana. Mkiamua kukosoa toeni kwanza mahaba na chuki zenu ndio mtakua mnaeleweka.
 
Hivi baba wa Kiafrika kupiga picha na binti yako akiwa kwenye mavazi haya hii ni adabu ya wapi?

mi mwenyewe nimeshika tama kwa mshangao na kusikitika humo humo
 
akikujibu nishtue na mimi nahitaji majibu katika hili swali

Hata mi nasubiri maan kama atavua means yule wa pili apewe bas na kwa mfano akipewa hy wa tatu tutaanza tena ooooh tumemuonea namba mbili ....loo!
 
Mbona mbowe alipopiga picha anakula denda mbele ya wanawe mlisema ni mambo ya kawaida!!! Au kunya anye kuku, akinya bata kaharisha? Acheni double standard bana. Mkiamua kukosoa toeni kwanza mahaba na chuki zenu ndio mtakua mnaeleweka.

Wewe ni mpumbavu sana ina maana Mbowe akifanya kosa linahararisha kosa la Mtemvu kuwa halali?

Jinga kabisa.
 
Kwa habari nilozosikia Taji Sitti keshajivua ila Lundenga ndio anangangania kua aendelee kubaki nalo.. hata ule uvumi wa mara ya kwanza nasikia ilikua kweli japo Lundenga akaja kukanusha kua si kweli.

Ni tetesi tu

Huenda amekula $ toka kwa baba mtu
 
Kwa kuwa ni wazi kuwa Dada Sitti Mtemvu atavuliwa taji kwa kudanganya umri na kuongoe kifaransa ili kukwepa maswali napendekeza Taji apewe yule mshindi wa tatu.
Maajabu haya... umesikia mshindi wa pili halitaki hilo taji, au?
 
Kwa habari nilozosikia Taji Sitti keshajivua ila Lundenga ndio anangangania kua aendelee kubaki nalo.. hata ule uvumi wa mara ya kwanza nasikia ilikua kweli japo Lundenga akaja kukanusha kua si kweli.

Ni tetesi tu
Ni tetesi zinazo-make sense... cheki yenyewe ilikuwa short of amount... sasa wakimvua, huyo Lundenga lazima aanze deal upya na huyo mshindi halali...
 
Hata mi nasubiri maan kama atavua means yule wa pili apewe bas na kwa mfano akipewa hy wa tatu tutaanza tena ooooh tumemuonea namba mbili ....loo!

kweli italeta malumbano tena....haiwezekani tumruke wa bila sabb za maana. halafu huyu wa tatu nimeona anapigiwa chapuo sana na le mutuz....sijui anamaslahi nae.
 
kweli italeta malumbano tena....haiwezekani tumruke wa bila sabb za maana. halafu huyu wa tatu nimeona anapigiwa chapuo sana na le mutuz....sijui anamaslahi nae.

Yeye ndiye muandaaji wa miss ilala so yule ni mrembo wake...
 
Back
Top Bottom