To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Pole sana... pole yake piašMy mom is not A MUSLIM ANY MORE. ALI ASI.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana... pole yake piašMy mom is not A MUSLIM ANY MORE. ALI ASI.
kumbe inauma ukimsema mama? Next time take care and be impartila!My mom is not A MUSLIM ANY MORE. ALI ASI.
Umpe pole wa kwako. Huyu wangu aligundua hilo tatizo akaona hapana anataka aishi kama binadamuPole sana.,.. pole kwake pia
Huyu su mavi tu! kama mavi mengine
Nikimsema mama yako? Wangu aliacha uislamu.kumbe inauma ukimsema mama? Next time take care and be impartila!
Mama anahusikajeMama anajua hili kweli!?
Sadš„Umpe pole wa kwako. Huyu wangu aligundua hilo tatizo akaona hapana anataka aishi kama binadamu
Yeye anajua, nadhani ndiyo maana tunajibizana mkuuMama anahusikaje
Mwamba pole kwa yaliyokukuta,Duhhhh.....
Ngoja tusubiri matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwanza..š
Wamejinasua kuwa mateka wa utamaduni wa watu wengine. Hawa wameshtuka.Asilimia 97 ya wakazi wa nchi hii ni Musilimu. Lakini bado wamepiga marufuku uvaaji wa Hijab. Why? Waachwe wanawake wavae Hijab jamani. Hawa ni viumbe vya kutuburudisha.
View attachment 3143009
Nazidi kuimarika sana mkuuMwamba pole kwa yaliyokukuta,
Now unaendeleaje?
Hijabu ni vazi lililokua linavaliwa na wanawake wa mashariki ya kati kabla ya Uislam na Ukristo haujaingia duniani, walikua wakivaa kwasababu ya VUMBI la jangwani; Wayahudi walivaa hivo na Waarabu as well. Uislamu ulivokuja, uli copy kila kitu cha mashariki ya kati na kukifanya kua cha kidini. Hata jiwe la Makkah nalo limeingizwa kwenye dini lakini ni eneo walilokua wakiabudu miungu yao Waarabu, you can call, eneo walilokua wakifanyia ibada zao za masanamu, uislamu ukaja ukahalalisha kama Roman Catholic walivoihalalisha sherehe za tarehe 25th December na kuziita ChristmasHuu ndio Uislam wa magharibi wanaoutaka yaan tuwe kama wao, mtu akitakakuvaa bikini sawa.
Ndio mamake SI anamburudisha baba yake mbona Hilo liko wazi?Unasema NI VIUMBE wa kutuburudisha? Is that correct?
OK then, does it include your MOTHER?
mama nani sasa?Mama anajua hili kweli!?
Sasa hilo lina ubishi gani, mama si ni ua la babaUnasema NI VIUMBE wa kutuburudisha? Is that correct?
OK then, does it include your MOTHER?
KWA MAMLAKA IPI?Sasa hilo lina ubishi gani, mama si ni ua la baba