kwa mamlaka Ya Mungu,KWA MAMLAKA IPI?
Siku ya leo inaonesha hili neno umelikamiaHuyu su mavi tu! kama mavi mengine
Mungu aendelee kukupigania ndugu.Nazidi kuimarika sana mkuu
MUNGU MPUUZI HUYO ANAYEWAFANYA WANAWAKE SUBJECTS, LEISURE OBJECTS OF MEN!kwa mamlaka Ya Mungu,
Mwanzo 3:16
[16]Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.
Mama yake ni kiburudisho kwa baba yake.Unasema NI VIUMBE wa kutuburudisha? Is that correct?
OK then, does it include your MOTHER?
Ukileta thread lete na vyanzo sio copy na paste ya kuunganisha picha wanawake wakiwa harusini au functioan maalum, likely hawa ni Indian woman sio vyema kujaribu kuusema na kuutukana uislam kila unapoandika hapaAsilimia 97 ya wakazi wa nchi hii ni Musilimu. Lakini bado wamepiga marufuku uvaaji wa Hijab. Why? Waachwe wanawake wavae Hijab jamani. Hawa ni viumbe vya kutuburudisha.
View attachment 3143009
Ndio ilivyo mbona, we angalia mabinti asipopata wa kumtongoza anaenda kwa waganga, hao wanawake wenye wenyepesa wanawanunua vijana ili kutimiza hilo lengo hata kama kijana atatoka na lishangazi bado hilo lishangazi litakuwa kwa ajili ya huyo mwanaume(kijana)MUNGU MPUUZI HUYO ANAYEWAFANYA WANAWAKE SUBJECTS, LEISURE OBJECTS OF MEN!
Sitaki kulijibu hayo mengine itakua mada ndefu ila mimi nazungumzia ishu ya uvaaji mnayoipigia debe humu achana na mambo ya Uislam hivi hayo mavazi wanayotaka muyavae hao western nyie mnaona ni sawa? Tumia common sense tu ya kawaida achana na dini mbona siku hizi mnaweka chuoni na makanisani dress code? Halafu huku mtandaoni manjifanya eti uhuru camoon hakuna uhuru wa mwanamke kuvaa ovyo mimi tu siwezi kuongozana na mwanamke amevaa kijitaiti tuu wakati mwingine transparent. Ifikie wakati tureason wenyewe hayo mambo ya west kiukweli sio ya kuigaHijabu ni vazi lililokua linavaliwa na wanawake wa mashariki ya kati kabla ya Uislam na Ukristo haujaingia duniani, walikua wakivaa kwasababu ya VUMBI la jangwani; Wayahudi walivaa hivo na Waarabu as well. Uislamu ulivokuja, uli copy kila kitu cha mashariki ya kati na kukifanya kua cha kidini. Hata jiwe la Makkah nalo limeingizwa kwenye dini lakini ni eneo walilokua wakiabudu miungu yao Waarabu, you can call, eneo walilokua wakifanyia ibada zao za masanamu, uislamu ukaja ukahalalisha kama Roman Catholic walivoihalalisha sherehe za tarehe 25th December na kuziita Christmas
Wamesema Wanawake hawana tofauti na mifugo yaan mbuzi ng'ombe kondoo nguruwe na wapo kwa ajili ya matumizi ya Mwanaume au WanaumeKufurahia kazi njema ya Mungu mwenye enzi, urembo wa mwanamke
1 wakorinto 11:8 mwanamke ametoka kwa mwanaume hivyo yuko chini ya mwanaumeWamesema Wanawake hawana tofauti na mifugo yaan mbuzi ng'ombe kondoo nguruwe na wapo kwa ajili ya matumizi ya Mwanaume au Wanaume
Sijawahi kusikia kama kuna amri popote duniani kwamba watu wavae mavazi ya Magharibi; unless unikumbushe hilo mkuu. Well, Biblia ipo wazi, nje ya hayo maandiko ambayo ume refer; yenyewe yanazungumzia "Wakati wa kusali" mjadara hapa sio tuwapo kanisani or msikitini, mjadara ni mavazi kwenye maisha yetu ya kawaida, mitaani, makazini, mashuleni etc. Wewe umenukuu maandiko ya NDANI ya nyumba ya Mungu; siungi mkono mavazi ya nusu uchi or hata yanayo onesha nguo za ndani au hata nguo zinazo Bana, Biblia inazungumzia kuhusu mavazi ya kujisitiri. Biblia haija specify aina ya mavazi, utamaduni wenu unaweza kuamua maadamu nguo hizo zinasitiri mwili wako, nguo yako inakupa ujasiri wa kwenda popote, kanisani/msikitini, ukweni kwako, kwa wanao au wazazi wako hivo yaani. But again narudia, HIJABU no vazi walilokua wanavaa wanawake wa mashariki ya kati kabla ya uislam na Ukristo haujaingia duniani, lengo lilikua moja tu, sio DINI na wala sio agizo la Mungu, ilikua kwasababu ya VUMBI la jangwani lisichafue nywele zao, hivo yaani. Same as kanzu kwa wanaume, sababu ilikua ni hiyo hiyo tu. Hata hayo mambo ya kutawadha wanako fanya Waislamu leo, same thing; VUMBI miguuni wasiingie nalo ndani, uislam umekuja kuliweka suala la kiimani, wao walikua wakifanya everytime wanapotoka kwenye mishe mishe zao, hi ilikua ikifanyikia majumbani kwao na sio nyumba ya IBADASitaki kulijibu hayo mengine itakua mada ndefu ila mimi nazungumzia ishu ya uvaaji mnayoipigia debe humu achana na mambo ya Uislam hivi hayo mavazi wanayotaka muyavae hao western nyie mnaona ni sawa? Tumia common sense tu ya kawaida achana na dini mbona siku hizi mnaweka chuoni na makanisani dress code? Halafu huku mtandaoni manjifanya eti uhuru camoon hakuna uhuru wa mwanamke kuvaa ovyo mimi tu siwezi kuongozana na mwanamke amevaa kijitaiti tuu wakati mwingine transparent. Ifikie wakati tureason wenyewe hayo mambo ya west kiukweli sio ya kuiga
Mkorintho huyo ana 1 anawaelekeza uvaaji wa mwanamke, mtego wa mashetani wakristo wengi hawajaustukia wamekua walaini sana