Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Kwann hali tishio halipo tenaKumbe ndio yule aliyekuwa anafadhili magenge ya Madawa ya kulevya, sidhani kama atathubutu kufunua mdomo wake…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann hali tishio halipo tenaKumbe ndio yule aliyekuwa anafadhili magenge ya Madawa ya kulevya, sidhani kama atathubutu kufunua mdomo wake…
Umasikini umeletwa na ccmwana mchango mkubwa sana kwenye umasikini wa WaTanzania na hujuma dhidi ya Tanzania kwa kigezo cha utanzania waliojivika huku kwa siri wakiwa na dual citizenship...
Kale kajamaa ni kasanii,kataishi kutaja mambo ya kanga tuTajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Sasa ndio umeandika nini hichi? hembu soma vizuri ulichaondika.hii ni kwa ajiri ya kuteka vichwa vya mbuzi kama nyinyi sio kwa ajiri ya kumgeuza marehemu.
Nouma sana, watu walipata madhila mengi sana siku wakifungua wote mdomo itakuwa shida sana.Roma mkatoliki nae ataachia lini singo yake ya kutekwa?
Sasa ndio umeandika nini hichi? hembu soma vizuri ulichaondika.
Muhindi haweziTajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu. Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Lakini mbona Mbowe, Heche, Lissu, Msigwa na Mnyika siyo MASIKINIUmasikini umeletwa na ccm
Hafai!!! Kanifanya mama mtu mzima nijiulize "kwani Ng'ombe analiaje" 🤣🤣We jamaa fala Sana, 😁😁 eti mlio wa ng'ombe😁😁😁😁😁
Kwani ccm wote ni matajiriLakini mbona Mbowe, Heche, Lissu, Msigwa na Mnyika siyo MASIKINI
Wewe ndio umesema CCM imekufanya masikini, kwanini haijawafanya hao wanaokwambia masikini?Kwani ccm wote ni matajiri
Hali halisi si unaiona, mazingira ya masikini kujikwamua nchini ni magumu Vikwazo kibao Ili wengi wabakie kuwa masikini Ili watawaliwe.Wewe ndio umesema CCM imekufanya masikini, kwanini haijawafanya hao wanaokwambia masikini?
Kasemaje.? Au muda bado?Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu. Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Amka Na wewe utajirike kama kina Heche, Msigwa, Mnyika, Mbowe.Hali halisi si unaiona, mazingira ya masikini kujikwamua nchini ni magumu Vikwazo kibao Ili wengi wabakie kuwa masikini Ili watawaliwe.
Majority wengine jeAmka Na wewe utajirike kama kina Heche, Msigwa, Mnyika, Mbowe.
Epuka kutumika kwenye agenda za watu