Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo CCM?Yani bavicha wananishangaza sana. Jamani adui yenu ni ccm hawa viongozi ni muda tuu. Magufuli is gone but ccm is still kuwafirigisha. Kuweni na agenda inayoeleweka. Ccm wanawajaza upepo kidogo kwa gia ya kuwa na mpasuko mnajaa, mnasahau agenda ya katiba mpya.
Naunga mkono hoja, Roma naye atoke.Wako wengi bwashekhee ata wakina Ulimboka watoke sasa,Familia ya yule mzee aliekuwa mjumbe wa tume ya katibanae nayo itoke maana tushachoka sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kiongozi .....Yani bavicha wananishangaza sana. Jamani adui yenu ni ccm hawa viongozi ni muda tuu. Magufuli is gone but ccm is still kuwafirigisha. Kuweni na agenda inayoeleweka. Ccm wanawajaza upepo kidogo kwa gia ya kuwa na mpasuko mnajaa, mnasahau agenda ya katiba mpya.
AISEE, UNAJUA KUJIPOTEZEA MUDA ....Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Eti Moooooo! Majitu yanajua kutunga!We jamaa fala Sana, 😁😁 eti mlio wa ng'ombe😁😁😁😁😁
Marehemu atageuka Kaburini wallah!
Hii code imekuwa ngumu mnoo kwangu kuiUnlock mwenye supportive documents tafadhali