Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

ndio akae kimya kabisa, maana wanaitafuna hii nchi kadili wawezavyo wanaangaliwa tu...walipewa mashamba wayaendeleze wakaenda kukopea na kujenga viwanda....wakifinywa gizani wanalialia...
Kumbe hawa nao wakati mwingine ni adui zetu eeeh?
 
Amesema lini na kupitia wapi lete ushahid.au amekwambia wewe tu
 
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Wako wengi bwashekhee ata wakina Ulimboka watoke sasa,Familia ya yule mzee aliekuwa mjumbe wa tume ya katibanae nayo itoke maana tushachoka sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Ana haka ya Kutoa Taarifa?? Sijui angeita tu Waandishi wa Habari akabwabwaja tu? Nimeishaanza kuona ni Yale Yale... Hakuna Jipya!
 
Tajiri anayelia kama ng’ombe naye kasema ili nafsi yake iwe huru kuanzia sasa ataanika kila kitu.
Mambo ndio yameanza hivi itajulikana tu mbivu na mbichi.
Ameahidi kutaja waliosuka mpango mzima wa yeye kutekwa, alipopelekwa, walivodai mambo mbalimbali na sababu ya kutekwa.
Kasema hatoacha kitu kwani alikusanya taarifa za kutosha juu ya sakata lake hilo.
Alianza Zitto, kafuata Mwingira sasa atafuata tajiri mwenye mlio wa Ng’ombe hatoficha kitu na dunia lazima ijue hao watu walikua watu wa namna gani.
Mkuu, hii code ya tajiri anayelia Kama ng'ombe umetisha sana!!

Ila mkuu, source ya udaku huu hujaiweka waz!!!
 
Tatizo wanataja madhambi ya marehemu, inaishia kuwa porojo tu
 
Yani bavicha wananishangaza sana. Jamani adui yenu ni ccm hawa viongozi ni muda tuu. Magufuli is gone but ccm is still kuwafirigisha. Kuweni na agenda inayoeleweka. Ccm wanawajaza upepo kidogo kwa gia ya kuwa na mpasuko mnajaa, mnasahau agenda ya katiba mpya.
Usiwe kama umekatwa kichwa, kwani CCM ni nini kama siyo hao hao viongozi majambazi? Kwa namna usivyo na akili timamu unataka kutuaminisha kuwa CCM ni dubwana fulani!
 
Usiwe kama umekatwa kichwa, kwani CCM ni nini kama siyo hao hao viongozi majambazi? Kwa namna usivyo na akili timamu unataka kutuaminisha kuwa CCM ni dubwana fulani!
Hahaa kweli wewe nyumbu. Mmepigwa chenga ya mwili mmejaa kila kukicha kumsakama magufuli the dead ambae hana madhara tena kwenu. Kama ccm sio mfumo mbona kila kiongizi akija analinda maslahi ya ccm na sio taifa? Unaakili kwenye masabuli ama?
 
Back
Top Bottom