Tetesi: Tajiri Alietekwa Anajiandaa Kueleza Dunia Kila Kitu, waandishi Kuitwa Muda wowote sasa

wana mchango mkubwa sana kwenye umasikini wa WaTanzania na hujuma dhidi ya Tanzania kwa kigezo cha utanzania waliojivika huku kwa siri wakiwa na dual citizenship...
Umasikini umeletwa na ccm
 
Kale kajamaa ni kasanii,kataishi kutaja mambo ya kanga tu
 
Muhindi hawezi
 
Bado hajaongea tu 🤣🤣🤣🤣

( Vitu wapendavyo wabongo )

Hapa watakaa kusubiria mpaka matako yalie mbwata
 
Wewe ndio umesema CCM imekufanya masikini, kwanini haijawafanya hao wanaokwambia masikini?
Hali halisi si unaiona, mazingira ya masikini kujikwamua nchini ni magumu Vikwazo kibao Ili wengi wabakie kuwa masikini Ili watawaliwe.
 
Kasemaje.? Au muda bado?
 
Hali halisi si unaiona, mazingira ya masikini kujikwamua nchini ni magumu Vikwazo kibao Ili wengi wabakie kuwa masikini Ili watawaliwe.
Amka Na wewe utajirike kama kina Heche, Msigwa, Mnyika, Mbowe.

Epuka kutumika kwenye agenda za watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…