Tajiri mzee Bakhressa kama 40% ya wana Yanga SC nchini watasusia kununua bidhaa zako, sisi 60% ya wana Simba SC tutanunua tu

Tajiri mzee Bakhressa kama 40% ya wana Yanga SC nchini watasusia kununua bidhaa zako, sisi 60% ya wana Simba SC tutanunua tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
 
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
Wakiruka bidhaa ya Azam wataangukia Kwa Mo hahahha Simba oye
 
Huitaji kugomea biashara zao, kinachotakiwa Kwa mwananchi popote alipo ni kutoa taarifa za ukwepaji wa Kodi ya Serikali Kwa kampuni yoyote ya Azam.
Nina uhakika haitachukua miaka 2 kampuni nyingi kama si zote zitakua zimefilisika.
 
Huitaji kugomea biashara zao, kinachotakiwa Kwa mwananchi popote alipo ni kutoa taarifa za ukwepaji wa Kodi ya Serikali Kwa kampuni yoyote ya Azam.
Nina uhakika haitachukua miaka 2 kampuni nyingi kama si zote zitakua zimefilisika.
Ukivuka Kiwango cha Roho Mbaya unakuwa Mchawi wa Kutukuka maishani.
 
Ukivuka Kiwango cha Roho Mbaya unakuwa Mchawi wa Kutukuka maishani.
Unajua awa Matajiri wanajisahau nakuona watu awaelewi michezo wanayo fanya kuhusu utajiri wao. Matajiri wengi nchi hii hawafanyi biashara Halali, wengi ni wakwepa Kodi na ndio base ya utajiri wao Sasa wanakuja kusumbua jamii Kwa pesa zinazotokana na kui ibia jamii.
Awa Matajiri ukiwabana walipe Kodi Halali bila kuwabambikia wengi hawatoboi na biashara zinakufa kifo Cha Mende.
Sanasana watahamisha mitaji kwenda nchi nyingine yenye chupri.
 
Unajua awa Matajiri wanajisahau nakuona watu awaelewi michezo wanayo fanya kuhusu utajiri wao. Matajiri wengi nchi hii hawafanyi biashara Halali, wengi ni wakwepa Kodi na ndio base ya utajiri wao Sasa wanakuja kusumbua jamii Kwa pesa zinazotokana na kui ibia jamii.
Awa Matajiri ukiwabana walipe Kodi Halali bila kuwabambikia wengi hawatoboi na biashara zinakufa kifo Cha Mende.
Sanasana watahamisha mitaji kwenda nchi nyingine yenye chupri.
Kama serikali ikiwabana matajiri walipe Kodi kihalali sidhani kama GSM ataendelea kufadhili yanga
 
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Unajua awa Matajiri wanajisahau nakuona watu awaelewi michezo wanayo fanya kuhusu utajiri wao. Matajiri wengi nchi hii hawafanyi biashara Halali, wengi ni wakwepa Kodi na ndio base ya utajiri wao Sasa wanakuja kusumbua jamii Kwa pesa zinazotokana na kui ibia jamii.
Awa Matajiri ukiwabana walipe Kodi Halali bila kuwabambikia wengi hawatoboi na biashara zinakufa kifo Cha Mende.
Sanasana watahamisha mitaji kwenda nchi nyingine yenye chupri.
Hii sio kwa Azam labda kama unasema gsm.
Maana hizo pesa za kuchezea na kutunishiana msuli na matajiri kuliko yeye nina uhakika ni zile zinazotoka kwa washirika wake walioiba magunia ya pesa wakati wa escrow.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Huitaji kugomea biashara zao, kinachotakiwa Kwa mwananchi popote alipo ni kutoa taarifa za ukwepaji wa Kodi ya Serikali Kwa kampuni yoyote ya Azam.
Nina uhakika haitachukua miaka 2 kampuni nyingi kama si zote zitakua zimefilisika.
Unataka kusema Azam anakwepa kodi siku zote na Serikali haifahamu kwa hiyo wanahitaji msaada wa Mashabiki/ Wazee wa Yanga kupata taarifa ya jinsi Bakharesa anavyokwepa kodi?.
 
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
huo uamuzi wa kususia bidhaa hauwezi kupitishwa na yanga,huo ni msimamo ambao sio rahisi kuusimamia na yanga wala gsm hawawezi kuupitisha,hiyo vita itapiganwa nje ya biashara
 
Unataka kusema Azam anakwepa kodi siku zote na Serikali haifahamu kwa hiyo wanahitaji msaada wa Mashabiki/ Wazee wa Yanga kupata taarifa ya jinsi Bakharesa anavyokwepa kodi?.
Hivi tuwe wakweli kabisa mbele za Mungu,kati ya Bakhresa na Ghalib nani ana rekodi chafu ya kukwepa kodi hapa nchini? Nani asiyejua uchafu uliofanywa na HSC enzi za awamu ya nne?
 
Na bahati mbaya ninavyojua ni kwamba 99% ya wana Yanga SC ni Choka Mbaya (Masikini) kama mimi tu GENTAMYCINE hivyo hakuna mwenye Ubavu wa kutokununua bidhaa zako zozote kuanzia Maandalizi, Nazi, Juice, Unga, Chapati, Mafuta na kadhalika.

Sasa kwa mfano Wewe Mzee wa Yanga SC na rafiki yangu mkubwa Said Motisha una Ubavu gani wa kuacha kununua bidhaa zozote za Kampuni ya Azam?

Sometimes Watu wa Yanga SC mna Mambo ya Kitoto na Kipuuzi mno. Jirekebisheni tafadhali sawa?

Mnaboa.....!!!!
Una muhaho haswaa..!!!
 
Hii mitandao imeaminisha wapumbavu kuwa wana nguvu kubwa kuliko uhalisia.

Utakuta jitu lipo kijiweni linashindia maandazi ya Bakhressa mixer Azam energy drink huku akiangalia mpira kwenye king'amuzi cha azam halafu anakwambia tugomee kununua bidhaa za Bakhressa.

Mtu anashabikia jambo bila hata kujua hizo bidhaa zenyewe ni zipi.

Kuna ushabiki na upumbavu na kwa hapa kwetu wengi ni majuha wanaojiita mashabiki.
 
Back
Top Bottom