haszu
JF-Expert Member
- Oct 10, 2017
- 978
- 2,313
1_Masikini ndo hugegeda sana(starehe ya kila mtu)
2_Masikini ndo hulala sana
3_maskini hutumia muda mwingi na familia
4_masikini huinjoi chakula anachokula mfano kuku wali mara moja kwa mwezi au zaidi
5maskini huwa na muda mwingi wa kupunzika
6_masikini huwa hawazi kufirisika
7_ masikini huwa hana hofu ya majambazi kuvamiwa au kuweka mlinzi getini
Maskini wengi huwa ni God fearing
Utajiri je?
2_Masikini ndo hulala sana
3_maskini hutumia muda mwingi na familia
4_masikini huinjoi chakula anachokula mfano kuku wali mara moja kwa mwezi au zaidi
5maskini huwa na muda mwingi wa kupunzika
6_masikini huwa hawazi kufirisika
7_ masikini huwa hana hofu ya majambazi kuvamiwa au kuweka mlinzi getini
Maskini wengi huwa ni God fearing
Utajiri je?