Tajiri Zackaria Hans poppe amerejea rasmi Simba


Wanamalizana sasa na Mohammed Dewji ' MO ' na muda wowote kuanzia sasa kuna ' taarifa ' yake rasmi ya kurejea ' Kundini ' itatolewa tena na Yeye mwenyewe. Tunawashukuru mno Viongozi wawili wa Kisiasa nchini Tanzania mmoja ana ' Cheo ' cha juu kabisa na mwingine ana Cheo cha juu kabisa katika Chama fulani cha Upinzani kwa kuweza kuliingilia hili kati na kumshawishi Hanspoppe na sasa wanamalizana na Mohammed Dewji ' MO '.

Hii ndiyo Simba SC bhana!
 
Hakuachana na jeshi miaka ya mwisho ya 80. HansPope ni kati ya waliokuwa watuhumiwa wa uhaini wakitaka mpindua JKN. Alihukumiwa maisha na baadae kuachiliwa huru na BWM.
 
Hakuachana na jeshi miaka ya mwisho ya 80. HansPope ni kati ya waliokuwa watuhumiwa wa uhaini wakitaka mpindua JKN. Alihukumiwa maisha na baadae kuachiliwa huru na BWM.
Ila kimuonekano jamaa amekaa kama Godfather fulani hivi yaani mafia fulani hivi.
 
Hakuachana na jeshi miaka ya mwisho ya 80. HansPope ni kati ya waliokuwa watuhumiwa wa uhaini wakitaka mpindua JKN. Alihukumiwa maisha na baadae kuachiliwa huru na BWM.

Hapa sijaongelea hiyo Kesi yake bali naongelea Yeye kuachana rasmi na JWTZ miaka hiyo ya 80 tena akiwa na Cheo chake Kikubwa tu cha Captain. Kwanza kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa Yeye Zackaria Hanspoppe katika hiyo Kesi alihusishwa tu ' kimakosa ' ila aliyekuwa na huo mpango ' mbaya ' ni Kaka yake mkubwa. Sihitaji kuendelea zaidi ya hapa kwani sidhani kama hapa ni mahala pake na ukizingatia hata jambo lenyewe lilishamalizwa kitambo tu.
 
Yeah.Hata hilo la yeye kujitoa Simba na kurejea lishapita.Tuachane nalo.Tuangalie Simba inamalizaje ligi na kombe la FA.
 
Ila kimuonekano jamaa amekaa kama Godfather fulani hivi yaani mafia fulani hivi.

Tangia hapo ni ' Mafia ' aliyetukuka na ukitaka kulijua hili mtafute Makamu wa Urais wa Simba SC Godfrey Nyange Kaburu ' Peres ' muulize Mzee Hanspoppe mwaka jana mwezi March pale Taifa Simba SC ilipocheza na JKT Ruvu alitaka kumfanya nini baada ya kugundulika kuwa Yeye ( Kaburu ) alikuwa na tabia moja mbaya sana ( ambayo sitoitaja leo ) katika Dressing Room ya Wachezaji wa Simba SC. Naomba niishie hapa tafadhali ili nisije nikasema mengi zaidi halafu Wanasimba wakaanza kutokwa na machozi bure!
 
Km sio wivu sema tuone
 
Hao viongozi unaojitambia mbn wameshindwa kuisaidia timu ibebe ubigwa wakati huu ambao Yanga ilikuwa na wakati mgumu wa kifedha
 
Wewe jamaa kwa mikwara, ungekuwa nayo yakusema ungesema ulivyo mbea
 
Hans Pope ametengua maamuzi yake kama alivyofanya Lipumba
Lakini hicho chanzo kingepaswa kujibu maswala ya msingi, vinginevyo ni kama hawajaeleza lolote kuhusiana na kurejea huko:
(1) Hans Poppe alidai kuwa anapigwa danadana na akina Aveva ndiyo akajiuzulu. Hiyo danadana ilidanadanukaje? Yaani hatimaye walimwita au aliwaita? Na kama kweli alikuwa ameshaamua kujiuzulu, kwa nini ajihangaishe kuwatafuta? Au kama wao walimtafuta, kwa nini awafuate ilhali alikwishapitisha maamuzi ya kujiuzulu? (2) Je kurejea kwake kulikuwa kwa masharti gani? Kama ni bila masharti, atatushawishije kwamba hakuwa akitingisha kiberiti? Na kama ni kutingisha kiberiti, haoni kwamba anatutengenezea miwani ya kumwona alikuwa akidai chake kistaarabu? (3) Kitu gani kilichosibu ndani ya Kikao cha Usuluhishi kilichomfanya kuungana tena na watu aliyowaona hawakuwa na uungwana? Au ameridhika kwamba Mo Dewji hastahili tena heshima ambayo yeye Hans alituaminisha inamstahiki Mo?
 
Na pia usisahau ni mmoja wa watu walioipiga sana serikali kwenye mizan baada ya watu wa mizani barabaran kumwonea kila siku,,ikafika kipindi kila gar lake likifika mizan lazma apigwe faini,,bas akawatega na gari isiyo na mzigo,wakamwandikia fain makusud kabsa,dereva akazungusha kuingiza yad akampigia Capt Him self,,afande manyota,tajiri mtukutu na mwnye huruma kupitiliza,akaja akazama mfukon kulipa faini,,

Kimbembe akamwambia tingo fungua mzigo wngu nihakikishe kufungua hakuna kitu,,mbona akawaidai jamaa mzigo wote mpka mahakaman na wakamlipa,heshima ikarud na kumwonea kukaisha
 
Dunia hii haina jipya. Wamenakili kwa Hussein Tindwa aliyefanyiwa kama hivyo na timu yake pale Uwanja wa zamani wa Taifa. Sema tu hii ya Yanga ilizumuliwa kidogo, mwenzake Tindwa alifariki kabisa!
 
Sawa na Lipu..... tu. Mhehe mwenzangu huyo kwao Iringa Embalasasa.
 
Samahani mkuu. Weka taarifa sawa kuhusu ajira yake jeshini. Alihukumiwa kwa kesi ya uhaini wakati wa Nyerere na akina Eugene Maganga,Deutrich Mbogoro, .Alipata msamaha wa Mzee Mwinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…