Tajiri zaidi ya wote bara Asia awasili Kenya akiandamana na matajiri wengine 38

Tajiri zaidi ya wote bara Asia awasili Kenya akiandamana na matajiri wengine 38

Wacha mchezo bwana wee!

130 children under age 5 die everyday in Tanzania due to malnutrition!

UNICEF Tanzania - Nutrition - Overview
Jana Magufuli amewakemea sana hao watu, hasa unhcr wanawalazimisha wakimbizi wa Burundi kubakia kwenye Camp ili wazidi kupokea pesa za misaada kutoka abroad wakati hakuna vita pia wameambiwa waache kutoa taarifa zisizo na ukweli kwamba Burundi kuna machafuko wakati Burundi hali ni shwari.

Maafisa wa nhcr wamewaambia wakimbizi wa Burundi wasirudi Burundi watawapa elfu 10 kila siku ili waendelee kupanua matumbo yao.
 
Jana Magufuli amewakemea sana hao watu, hasa unhcr wanawalazimisha wakimbizi wa Burundi kubakia kwenye Camp ili wazidi kupokea pesa za misaada kutoka abroad wakati hakuna vita pia wameambiwa waache kutoa taarifa zisizo na ukweli kwamba Burundi kuna machafuko wakati Burundi hali ni shwari.

Maafisa wa nhcr wamewaambia wakimbizi wa Burundi wasirudi Burundi watawapa elfu 10 kila siku ili waendelee kupanua matumbo yao.
images
 
Yeah of course aliwaambia unhcr waache tafiti zao ambazo ni forgeries to suit their intentions and to raise attention for nothing serious ili wapate pesa nyingi UN that's exploitation jana Magufuli kawachana live na Rais wa Burundi kaja kupigilia msumari wa mwisho, Burundi ipo shwari
IMG_20170721_112748.JPG
 
Yeah of course aliwaambia unhcr waache tafiti zao ambazo ni forgeries to suit their intentions and to raise attention for nothing serious ili wapate pesa nyingi UN that's exploitation jana Magufuli kawachana live na Rais wa Burundi kaja kupigilia msumari wa mwisho, Burundi ipo shwari View attachment 547232

Kwahivo wakisema kuhusu Kenya ni kweli, na ikihusu Tanzania.....ni propaganda?
 
Hahaha umesoma kwanza hizo links Kwanzaa? Au sababu zina titles zenye maneno yenye" njaa" ukazani zitakua na any association na njaa? Hizo tales zote haziongelei njaa kama taifa zinaongelea matatizo ya familia kumudu pesa ya kununulia chakula ambacho kinejaa tele masokoni, zisome tu in summary

Kenya hata hicho chakula cha kuuza sokoni hakipo

Alafu tofautisha kati ya statement na question.
Hili ni swali sio statement kwamba tanzania ina njaa
KAKAKUONA : Tanzania inakabiliwa na baa la njaa au tishio la njaa?
 
Hahaha umesoma kwanza hizo links Kwanzaa? Au sababu zina titles zenye maneno yenye" njaa" ukazani zitakua na any association na njaa? Hizo tales zote haziongelei njaa kama taifa zinaongelea matatizo ya familia kumudu pesa ya kununulia chakula ambacho kinejaa tele masokoni, zisome tu in summary

Kenya hata hicho chakula cha kuuza sokoni hakipo

Alafu tofautisha kati ya statement na question.
Hili ni swali sio statement kwamba tanzania ina njaa
KAKAKUONA : Tanzania inakabiliwa na baa la njaa au tishio la njaa?
Dogo....hebu soma tena hiyo ripoti ya Kakakuona....na ukome mzaha.
 
Back
Top Bottom