P! SS OFF. Tanzania: 78% of People Affected By Food Shortages - StudyHahaha good idea but sadly you can't even afford to satisfy yourselves.
Urgent Aid for Kenya-- Food, Supplies, and Support
How your donations are making a difference in Kenya
Mnapewa msaada mpaka na wacheza kamali Betting company donate Sh250, 000 relief food to hunger stricken families | Kenya News Agency
Mpaka saivi wangeshakufa like 4 thousands, that research is white people's job.P! SS OFF. Tanzania: 78% of People Affected By Food Shortages - Study
Post sent using JamiiForums mobile app
Duuuh ushadandia treni kwa mbele hayaUlivyo mjinga u nadhani tourism sio biashara..
Wacha mchezo bwana wee!Mpaka saivi wangeshakufa like 4 thousands, that research is white people's job.
Jana Magufuli amewakemea sana hao watu, hasa unhcr wanawalazimisha wakimbizi wa Burundi kubakia kwenye Camp ili wazidi kupokea pesa za misaada kutoka abroad wakati hakuna vita pia wameambiwa waache kutoa taarifa zisizo na ukweli kwamba Burundi kuna machafuko wakati Burundi hali ni shwari.Wacha mchezo bwana wee!
130 children under age 5 die everyday in Tanzania due to malnutrition!
UNICEF Tanzania - Nutrition - Overview
Jana Magufuli amewakemea sana hao watu, hasa unhcr wanawalazimisha wakimbizi wa Burundi kubakia kwenye Camp ili wazidi kupokea pesa za misaada kutoka abroad wakati hakuna vita pia wameambiwa waache kutoa taarifa zisizo na ukweli kwamba Burundi kuna machafuko wakati Burundi hali ni shwari.
Maafisa wa nhcr wamewaambia wakimbizi wa Burundi wasirudi Burundi watawapa elfu 10 kila siku ili waendelee kupanua matumbo yao.
Yeah of course aliwaambia unhcr waache tafiti zao ambazo ni forgeries to suit their intentions and to raise attention for nothing serious ili wapate pesa nyingi UN that's exploitation jana Magufuli kawachana live na Rais wa Burundi kaja kupigilia msumari wa mwisho, Burundi ipo shwari
Yeah of course aliwaambia unhcr waache tafiti zao ambazo ni forgeries to suit their intentions and to raise attention for nothing serious ili wapate pesa nyingi UN that's exploitation jana Magufuli kawachana live na Rais wa Burundi kaja kupigilia msumari wa mwisho, Burundi ipo shwari View attachment 547232
Hizo links nilizoweka mie ni zenu wenyewe wakenya.Kwahivo wakisema kuhusu Kenya ni kweli, na ikihusu Tanzania.....ni propaganda?
AlrightHizo links nilizoweka mie ni zenu wenyewe wakenya.
Hahaha umesoma kwanza hizo links Kwanzaa? Au sababu zina titles zenye maneno yenye" njaa" ukazani zitakua na any association na njaa? Hizo tales zote haziongelei njaa kama taifa zinaongelea matatizo ya familia kumudu pesa ya kununulia chakula ambacho kinejaa tele masokoni, zisome tu in summary
Dogo....hebu soma tena hiyo ripoti ya Kakakuona....na ukome mzaha.Hahaha umesoma kwanza hizo links Kwanzaa? Au sababu zina titles zenye maneno yenye" njaa" ukazani zitakua na any association na njaa? Hizo tales zote haziongelei njaa kama taifa zinaongelea matatizo ya familia kumudu pesa ya kununulia chakula ambacho kinejaa tele masokoni, zisome tu in summary
Kenya hata hicho chakula cha kuuza sokoni hakipo
Alafu tofautisha kati ya statement na question.
Hili ni swali sio statement kwamba tanzania ina njaa
KAKAKUONA : Tanzania inakabiliwa na baa la njaa au tishio la njaa?
We dogo VipiDogo....hebu soma tena hiyo ripoti ya Kakakuona....na ukome mzaha.
....Msamehe mkuu yeye anachojua ni mambo ya Lumumba na Chadema tuuInaonekana UNCTAD ni chama cha kisiasa kulingana na mawazo yako.