Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Sipati picha banda likivunjika kwa upepo au mafuriko au msafishaji kusahau kufunga mlango
 
Mijoka hii hii ambayo ikionekana tu tunakimbiana?

Haa, watu mna ujasiri aloo. O level nilimshikaga chatu nilikimbiwa balaa na watu waligoma hata kula nami.

Mijoka ina sura ka shetani ndo nifuge? Thubutuuu, bora nifuge hata vyura kuliko masneki
 
Lipo mbeya nashukuru Mungu mambo yanakwenda vizuri,nawashukuru watu wa Mali asili kwa ushirikiano na ushauri wanaonipatia

Una roho ngumu sana kiongozi!! Huyu mdudu anavyotisha yaani ukimtaja tu nywele zinasisimka!!!
 
Kabla hujaanza kuwafuga andika USIA na usisahau kwenda kuomba kibali serikali hii haikawii kusema ni nyara zake.
 
Hii ni zaidi ya Kilimo kwanza!Hii inaitwa Kifo Kwanza
 
mkuu, mazao yote haya ya kulima.. unawaza nyoka.. duuh hatarious..!
 
Mkuu undefine nikutakie tu kila la heri katika ufugaji huu, mimi nitahitaji muda mrefu wa kuandaliwa kisaikologia.
 
mkuu me nimepta interest y hki kilimo...naomba unambie soko la hio venom lko wap kw hpa bongo...na bei ikoje ili nijpnge october nianze kazi
 
Hahaa mnataka kufuga na nyoka acheni mchezo nyie fanyeni kilimo kingine

Hao nyoka unawazoeaje kwanza mmh ni issue
 
Siwezi kufuga nyoka wala kuwapenda. Hao ninapo muona ni adui kwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…