Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Una sumu ya black mamba?
 
Hata kama ila bado sijashaurika kwa hilo, afadhali nifuge sungura na guinea pigs.
 


Snake venom ina thamani kubwa kama vile madini,snake venom huuzwa kwa gram pesa ndefu

Hebu soma ubao hapo juu,ujione bei yake kwa gram kwenye soko la kimataifa.

Mkuu fursa hiyo
$550 ,$1000 siyo hela ya kitoto

Gram 20 unavuta mjengo mjini
 
Mhmm kumbe uongozi wa magufuli utapelekea kweli watu kuwa wabunifu tutafupa mpaka siafu mwaka huu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Asanteeeeeeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
namba 2;kusafisha mabanda ya nyoka yanasafishwaje ndugu
 

Duh sasa hayo mabanda unaingiaje kusafisha maana wewe msafishaji watakufanya sehemu ya kujaribia venom zao
 
mimi nipe kazi ya kuwaponda mawe ila sio kufuga,
 
Mkuu kumbe uko uyole hapo sasa njoo chunya utapga sana ela maana kuna koboko wakutosha

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Duh mkuu hujatoa kuhusu anayefuga tahadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…