Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

Tajirika na Kilimo cha Nyoka: Tuwapende na kuwatumia Nyoka badala ya kuwaua

mkuu sasa mbeya unawafuga kwa joto gani,nielekeze nifike hapo nipate mawili matatu juu ya fursa hii mpya
 
View attachment 502154
Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu sana kutokana na uhitaji wake.
View attachment 502152
Gram moja ya "snake venom " kwa soko la kimataifa inauzwa $1880 ,na kwenye soko la Afrika kusini inauzwa kwa makadirio ya Rand 25,000

*Kama unafikiria kuanzisha shamba lako la nyoka ,yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kupata faida ya kutosha kutokana na venom wanayozalisha Nyoka

1.zingatia hali ya joto na hewa .
View attachment 502150
Nyoka wanahitaji joto ya kiwango cha 24-29 degrees Celsius nyakati ya siku na 21-24 nyakati za usiku,

2.mabanda na nyumba za nyoka zinahitaji kusafishwa mara kwa Mara

Hali hiyo itasaidia kukuza uzalishaji wa nyoka kwa wingi.Nyoka wanahitaji kuwekwa mahali salama kuzuia matatizo yeyote ile ya kiafya kuwapata.

3.Nyoka kwa kawaida hula panya 3-4 na hulishwa kwa wiki 3-4 .Nyoka hula panya walio hai lakini wanaweza kula waliokufa pia ,Nyoka hupenda kucheza na panya mwanzo kabla ya kuwala hivyo ni vema kuwapatia walio hai.


Faida 3 za ufugaji wa nyoka

1.uzalishaji wa venom ambayo ukiuza unapata kiasi kikubwa cha pesa.

2.hupunguza na kutokomeza wadudu waharibifu kama panya nk.Nyoka chakula chao kikuu ni panya hivyo husaidia kutusafishia shamba au nyumba kwa kuwamaliza wadudu hawa.

Dawa ya kuua sumu ya nyoka itengenezwayo kutoka kwa sumu ya nyoka, yaani anti-venom, ndiyo tiba bora pekee ya kuumwa na nyoka.
View attachment 502151
**Mwisho nawashauri ndugu zangu sio kila tukiwaona nyoka tunawaua ,nyoka ni rafiki zetu na sio maadui.Tuwatumie ipasavyo watatusaidia sana.

Kwel Ajira Hakuna Mpaka Hii Pia Ni Trends
Duuu [emoji87][emoji87][emoji87]
 
Ntakutafuta aisee, nawapenda sana nyoka, ila nawaogopa.
 
Nasikia mavi ya nyoka ni mbolea(samadi) nzuri sana hata kama ni machache,pia yanathamani hata kuzidi ile story ya mavi ya radi kuuzwa kwa bei kubwa huko Congo ya Kabila
 
Ukiwa na vifaa vya kumshika nyoka mbona dilii Haya majitu ni kuwa nao makini ila nyoka ni kama kunguru sunajua kunguru hafugiki basi hata Nyoka vivyo hivyo
 
Ndo viwanda vyenyewe hivi sasa kaa chonjo. Na kama unataka ajira unaweza ajiliwa shambani kabisaa (Si mnataka ajira tumeni barua za maombi) hapa hakuna interview unaingia moja kwa moja kazini (Shamba la nyoka a.k.a death farm)
 
Haitatokea nikawa na urafiki na nyoka hata kama amekufa, namchukia sana huyu kiumbe, kwa kweli Bwana anirehemu kwa hili.
 
Jaman, ulimwengu huu kufuga mijoka tena, kwanza utahiudumia vipi hiii mi dudu, da!
 
Tanzania ya Viwanda.....
Mkuu asante kwa maelezo mazuri kwa wale wanaoogopa kufuga nyoka naona kuna fursa ya ku-supply panya kwenye hilo shamba lako.

Nina maswali machache
1.unao wangapi kwa sasa?
2.uvunaji wa sumu unatumia vifaa gani?
3.vipi namna ya kuhifadhi hiyo sumu?
4.bila shaka unafuga nyoka wa aina tofauti je bei ya sumu inategemeana na aina ya nyoka au wote bei ni moja?
5.vipi kuhusu soko wanunuzi wanaifuata au unawapelekea mwenyewe?
 
Tanzania ya Viwanda.....
Mkuu asante kwa maelezo mazuri kwa wale wanaoogopa kufuga nyoka naona kuna fursa ya ku-supply panya kwenye hilo shamba lako.

Nina maswali machache
1.unao wangapi kwa sasa?
2.uvunaji wa sumu unatumia vifaa gani?
3.vipi namna ya kuhifadhi hiyo sumu?
4.bila shaka unafuga nyoka wa aina tofauti je bei ya sumu inategemeana na aina ya nyoka au wote bei ni moja?
5.vipi kuhusu soko wanunuzi wanaifuata au unawapelekea mwenyewe?

View attachment 502154
Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu sana kutokana na uhitaji wake.
View attachment 502152
Gram moja ya "snake venom " kwa soko la kimataifa inauzwa $1880 ,na kwenye soko la Afrika kusini inauzwa kwa makadirio ya Rand 25,000

*Kama unafikiria kuanzisha shamba lako la nyoka ,yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kupata faida ya kutosha kutokana na venom wanayozalisha Nyoka

1.zingatia hali ya joto na hewa .
View attachment 502150
Nyoka wanahitaji joto ya kiwango cha 24-29 degrees Celsius nyakati ya siku na 21-24 nyakati za usiku,

2.mabanda na nyumba za nyoka zinahitaji kusafishwa mara kwa Mara

Hali hiyo itasaidia kukuza uzalishaji wa nyoka kwa wingi.Nyoka wanahitaji kuwekwa mahali salama kuzuia matatizo yeyote ile ya kiafya kuwapata.

3.Nyoka kwa kawaida hula panya 3-4 na hulishwa kwa wiki 3-4 .Nyoka hula panya walio hai lakini wanaweza kula waliokufa pia ,Nyoka hupenda kucheza na panya mwanzo kabla ya kuwala hivyo ni vema kuwapatia walio hai.


Faida 3 za ufugaji wa nyoka

1.uzalishaji wa venom ambayo ukiuza unapata kiasi kikubwa cha pesa.

2.hupunguza na kutokomeza wadudu waharibifu kama panya nk.Nyoka chakula chao kikuu ni panya hivyo husaidia kutusafishia shamba au nyumba kwa kuwamaliza wadudu hawa.

Dawa ya kuua sumu ya nyoka itengenezwayo kutoka kwa sumu ya nyoka, yaani anti-venom, ndiyo tiba bora pekee ya kuumwa na nyoka.
View attachment 502151
**Mwisho nawashauri ndugu zangu sio kila tukiwaona nyoka tunawaua ,nyoka ni rafiki zetu na sio maadui.Tuwatumie ipasavyo watatusaidia sana.
 
Back
Top Bottom