Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Watu awamu ya tano imewavuruga vya kutosha, soon mtaanza kufuga majini ya kuuza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaaa naomba mkuru akaze Kabisa kamba watu tuanzishe hadi kilimo cha kunguniMhmm kumbe uongozi wa magufuli utapelekea kweli watu kuwa wabunifu tutafupa mpaka siafu mwaka huu
View attachment 502154
Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu sana kutokana na uhitaji wake.
View attachment 502152
Gram moja ya "snake venom " kwa soko la kimataifa inauzwa $1880 ,na kwenye soko la Afrika kusini inauzwa kwa makadirio ya Rand 25,000
*Kama unafikiria kuanzisha shamba lako la nyoka ,yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kupata faida ya kutosha kutokana na venom wanayozalisha Nyoka
1.zingatia hali ya joto na hewa .
View attachment 502150
Nyoka wanahitaji joto ya kiwango cha 24-29 degrees Celsius nyakati ya siku na 21-24 nyakati za usiku,
2.mabanda na nyumba za nyoka zinahitaji kusafishwa mara kwa Mara
Hali hiyo itasaidia kukuza uzalishaji wa nyoka kwa wingi.Nyoka wanahitaji kuwekwa mahali salama kuzuia matatizo yeyote ile ya kiafya kuwapata.
3.Nyoka kwa kawaida hula panya 3-4 na hulishwa kwa wiki 3-4 .Nyoka hula panya walio hai lakini wanaweza kula waliokufa pia ,Nyoka hupenda kucheza na panya mwanzo kabla ya kuwala hivyo ni vema kuwapatia walio hai.
Faida 3 za ufugaji wa nyoka
1.uzalishaji wa venom ambayo ukiuza unapata kiasi kikubwa cha pesa.
2.hupunguza na kutokomeza wadudu waharibifu kama panya nk.Nyoka chakula chao kikuu ni panya hivyo husaidia kutusafishia shamba au nyumba kwa kuwamaliza wadudu hawa.
Dawa ya kuua sumu ya nyoka itengenezwayo kutoka kwa sumu ya nyoka, yaani anti-venom, ndiyo tiba bora pekee ya kuumwa na nyoka.
View attachment 502151
**Mwisho nawashauri ndugu zangu sio kila tukiwaona nyoka tunawaua ,nyoka ni rafiki zetu na sio maadui.Tuwatumie ipasavyo watatusaidia sana.
Swali zuri!!!Wewe umeshaanza kuwafuga kiongozi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]awamu hii tutaona kila aina ya biasharaMhmm kumbe uongozi wa magufuli utapelekea kweli watu kuwa wabunifu tutafupa mpaka siafu mwaka huu
Unatege mkono anakuuma kisha unajikamua.![emoji13] [emoji13] [emoji13]Hiyo sumu unaitoaje mkuu ?
Fuga tu maana wewe ni mwanaume, mwanamke ndiye haruhusiwi.walisha laaniwa nyoka na wakaweka uadui na mwanamke