Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei ya sumu hutofautiana kulingana na nyoka.mfanoTanzania ya Viwanda.....
Mkuu asante kwa maelezo mazuri kwa wale wanaoogopa kufuga nyoka naona kuna fursa ya ku-supply panya kwenye hilo shamba lako.
Nina maswali machache
1.unao wangapi kwa sasa?
2.uvunaji wa sumu unatumia vifaa gani?
3.vipi namna ya kuhifadhi hiyo sumu?
4.bila shaka unafuga nyoka wa aina tofauti je bei ya sumu inategemeana na aina ya nyoka au wote bei ni moja?
5.vipi kuhusu soko wanunuzi wanaifuata au unawapelekea mwenyewe?
hahahahahahah na hilo banda analisafishaje kwa mfanoWewe shamba lako la mfano liko wapi kwanza?
yaan afadhali umesaidia hapo, nilikuwa nataka kusema nikaona nipitie pitie kwanza ndo niseme kituNyoka wanalimwa au wanafugwa
Stak hata kuwaza ais eehahahahahahah na hilo banda analisafishaje kwa mfano
hata mimi aiseeStak hata kuwaza ais ee
NeverNevee
Angetuonyesha shamba darasaWewe shamba lako la mfano liko wapi kwanza?
Wewe shamba lako la mfano liko wapi kwanza?
Ntakua best student aiseeHeheheheheh ili liwe shamba darasa kwa wengine
Umeona enhee mkuuAngetuonyesha shamba darasa