KERO Taka hizi Mitaa ya Msasani (Dar) ni kero, wahusika mko wapi?

KERO Taka hizi Mitaa ya Msasani (Dar) ni kero, wahusika mko wapi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

MeVSMe

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
270
Reaction score
425
Wana Jf hamjambo???
Hapa Msasani ni siku ya 5 leo taka zimetolewa na Gari halionekani.
Watu wametangaziwa kwamba watoe taka gari linapita jioni kubeba taka, mbaya ni kwamba mpaka Leo zipo na ni taka zenye harufu mbaya, vinyesi pads pampas yaani tafrani tu.
PXL_20241113_094702146.MP.jpg
Mbaya ni kwamba hizi taka mnaziziona hapa ziko njiani, na hii njia magari yanapita, bajaji na pikipiki kwahiyo tangu ziwekwe yaani zinaleta foleni ambayo sio ya lazima hapa.

Halafu hapahapa Kuna watu wanapitia chakula, Sasa imagine taka ziko Karibu na sehemu ya kupikia Vyakula na manzi yamejazana mpaka sio poa, na haijulikani zitatolewa lini
PXL_20241113_094714701.jpg
Sasa hii imekuwa ni kawaida ya watu kupita wanatangaza toeni taka, na inaweza kupita mwezi taka zipo tu na hela tunalipa na gari haliji, hii sio sawa.

Mamlaka husika shughulikieni hili aisee, sasa ni kama Jiji la Dar hii imekuwa kawaida tu.
 
Wana Jf hamjambo???
Hapa Msasani ni siku ya 5 Leo taka zimetolewa na Gari halionekani.
Watu wametangaziwa kwamba watoe taka gari linapita jioni kubeba taka, mbaya ni kwamba mpaka Leo zipo na ni taka zenye harufu mbaya, vinyesi pads pampas yaani tafrani tu.
View attachment 3151344
Mbaya ni kwamba hizi taka mnaziziona hapa ziko njiani, na hii njia magari yanapita, bajaji na pikipiki kwahiyo tangu ziwekwe yaani zinaleta foleni ambayo sio ya lazima hapa.

Halafu hapahapa Kuna watu wanapitia chakula, Sasa imagine taka ziko Karibu na sehemu ya kupikia Vyakula na manzi yamejazana mpaka sio poa, na haijulikani zitatolewa lini
View attachment 3151346
Sasa hii imekuwa ni kawaida ya watu kupita wanatangaza toeni taka, na inaweza kupita mwezi taka zipo tu na hela tunalipa na gari haliji, Hii sio sawa.

Mamlaka husika shughulikieni hili aisee, Sasa ni kama Jiji WA Dar hii imekuwa kawaida tu.
Suala la Taka Kwa Dar ishakuwa Mazoea sasa
 
Wana Jf hamjambo???
Hapa Msasani ni siku ya 5 Leo taka zimetolewa na Gari halionekani.
Watu wametangaziwa kwamba watoe taka gari linapita jioni kubeba taka, mbaya ni kwamba mpaka Leo zipo na ni taka zenye harufu mbaya, vinyesi pads pampas yaani tafrani tu.
View attachment 3151344
Mbaya ni kwamba hizi taka mnaziziona hapa ziko njiani, na hii njia magari yanapita, bajaji na pikipiki kwahiyo tangu ziwekwe yaani zinaleta foleni ambayo sio ya lazima hapa.

Halafu hapahapa Kuna watu wanapitia chakula, Sasa imagine taka ziko Karibu na sehemu ya kupikia Vyakula na manzi yamejazana mpaka sio poa, na haijulikani zitatolewa lini
View attachment 3151346
Sasa hii imekuwa ni kawaida ya watu kupita wanatangaza toeni taka, na inaweza kupita mwezi taka zipo tu na hela tunalipa na gari haliji, Hii sio sawa.

Mamlaka husika shughulikieni hili aisee, Sasa ni kama Jiji WA Dar hii imekuwa kawaida tu.
Halafu mamlaka zishaonaga kawaida tu
 
Maeneo mengi ya jj la dsm kunanuka uchafu na taka zimezagaa ovyo bila mpangilio ,,,, hilo wala sio swala geni! Vumilieni /pambaneni
 
Back
Top Bottom