Tako/Taco

Tako/Taco

Django unchained

Senior Member
Joined
Sep 3, 2015
Posts
102
Reaction score
158
Ni chakula kitam sana ..nataman kukipata.

Nimehangaika kila pahala kuomba ..!

Wajuzi naomben kufahamishwa wap naweza kupata Tako..kwa hapa tz
download.jpg
 
Miaka ile ya zamani pale kijitonyama kulukuwa napemba anauza piza ya kienyeji inafanana kidogo na hiyo.
 
Ndo maana nikaja jukwaa la ma pishi..
Ni chakula...sio hiivyo mnavyo maanisha
We mzee
umejuaje kama tunamaanisha hicho unachokisema? Mimi sijaongeza neno bali ya kushangaa aina ya msosi ambao majiko mengi mjini ni adimu kupata.
Haya mkuu twakutakia utafutaji mwema wa TACO huko mitaani

gadem😂
 
We mzee
umejuaje kama tunamaanisha hicho unachokisema? Mimi sijaongeza neno bali ya kushangaa aina ya msosi ambao majiko mengi mjini ni adimu kupata.
Haya mkuu twakutakia utafutaji mwema wa TACO huko mitaani

gadem[emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1] haya mambo ni mazito...
Nawaza jisnsi ya kuagiza nikifika huko migahawani
Sjui niseme naomba ....atafadhali nipe.....
 
[emoji1][emoji1][emoji1] haya mambo ni mazito...
Nawaza jisnsi ya kuagiza nikifika huko migahawani
Sjui niseme naomba ....atafadhali nipe.....
Ukitaka kutokosea ktk kuagiza jaribu kufanyia mazoezi hili neno kwa kulirudia mara tano kwa sauti. Tamka KOMATA kwa sauti mara tano kwa kurudia rudia.

Mkuu utaweza kuagiza mbona🤣
 
Back
Top Bottom