Takriban watu 200 wameuawa katika shambulizi katikati mwa Burkina Faso

Takriban watu 200 wameuawa katika shambulizi katikati mwa Burkina Faso

Ilikuwa imetilia? Hai magaidi walikuwepo kitambo tu.
Huko unakokuita kutulia ikawwaje aliyekuwepo akaondolewa? Aliyepo sasa wengine kwamba kumbe kukamata nchi bila kupigiwa kura inawezekana
You sure you're ok upstairs bro!!?..you spitting shit
 
Hamas ni kiarabu kiswahili chake hamasa,wanalamba is nchi yao

Sehemu gani mfaransa yupo na kuna amani?..mali, burkina faso,niger, mozambique, central african republic, algeria kule walishindwa kurudi,na hakuna pahala amefanya unyama kuzidi algeria,koloni lake lenye rasilimali kuntu,mali kule alipoondolewa mwanzo akaenda kuwapa silaha tuareg,tuareg wakawa wanapata tu mafanikio wakiteka nchi, serikali ya mali ikaona iongee na ufaransa,alipohakikishiwa maslahi yake tuareg wakapotezwa na nchi yao ya azzawad,sasa kuna mihimili mitatu sahel ambayo imemiri urusi,mali,niger, burkina faso,wasubiri bidhaa ya ugaidi toka kwa mabeberu
Na Algeria toka wawatimue Wafaransa wameendelea kushinda nchi zote zinazowazunguka.
 
Naona wapigania dini wanaeneza upendo kweli kweli huko West Africa!
Si mchezo wanapigania!
مَّثَلُ الْجَنَّةِ الَّتِي وُعِدَ الْمُتَّقُونَ ۖ فِيهَا أَنْهَارٌ مِّن مَّاءٍ غَيْرِ آسِنٍ وَأَنْهَارٌ مِّن لَّبَنٍ لَّمْ يَتَغَيَّرْ طَعْمُهُ وَأَنْهَارٌ مِّنْ خَمْرٍ لَّذَّةٍ لِّلشَّارِبِينَ وَأَنْهَارٌ مِّنْ عَسَلٍ مُّصَفًّى ۖ وَلَهُمْ فِيهَا مِن كُلِّ الثَّمَرَاتِ وَمَغْفِرَةٌ مِّن رَّبِّهِمْ ۖ كَمَنْ هُوَ خَالِدٌ فِي النَّارِ وَسُقُوا مَاءً حَمِيمًا فَقَطَّعَ أَمْعَاءَهُمْ

[ MUH'AMMAD - 15 ]
Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya ulevi kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa. Na wao humo watakuwa na kila namna ya matunda, na maghfira kutoka kwa Mola wao Mlezi. Basi hao ni kama watakao dumu Motoni na wakinyweshwa maji yanayo chemka ya kuwakata matumbo yao?

Na maini ya samaki!
Ref!; Sahih al-Bukhari 3329
 
Hamas ni kiarabu kiswahili chake hamasa,wanalamba is nchi yao

Sehemu gani mfaransa yupo na kuna amani?..mali, burkina faso,niger, mozambique, central african republic, algeria kule walishindwa kurudi,na hakuna pahala amefanya unyama kuzidi algeria,koloni lake lenye rasilimali kuntu,mali kule alipoondolewa mwanzo akaenda kuwapa silaha tuareg,tuareg wakawa wanapata tu mafanikio wakiteka nchi, serikali ya mali ikaona iongee na ufaransa,alipohakikishiwa maslahi yake tuareg wakapotezwa na nchi yao ya azzawad,sasa kuna mihimili mitatu sahel ambayo imemiri urusi,mali,niger, burkina faso,wasubiri bidhaa ya ugaidi toka kwa mabeberu
Algeria ambao hawajiui kipuuzi ndio unasema Ufaransa imeshindwa. Algeria ilisimama yenyewe, serikali ikakaa wima na raia wakajua kabisa ugaidi sio maisha na wakaacha.
Last time Algeria ilifanya makubaliano na vikundi vya kigaidi na inatoa adhabu kali kwa extremists.

Hata Saudi Arabia ambako kwa mwaka wananyonga masheikh na Waislamu wenye misimamo mikali nako unasema Ufaransa ndio inawafundisha Quran na kuwaelekeza ugaidi? Saudia imenyonga watu 172 kwa mwaka jana pekee. Iran imenyonga watu zaidi ya 800 kwa mwaka jana pekee. Hao ndio waasisi wa Uislamu hawacheki na kima. Misri iliwaondoa Muslim Brotherhood na wamepigwa marufuku Saudi, Syria na kwingineko. Huko nako ni Ufaransa inawapeleka?

Nimewauliza katika mashambulizi hayo yaliyofanyika ni Mfaransa gani kafyatua risasi?
Au hayo magaidi ni manyani hayana akili yakiambiwa yaue yanaua?
 
Algeria ambao hawajiui kipuuzi ndio unasema Ufaransa imeshindwa. Algeria ilisimama yenyewe, serikali ikakaa wima na raia wakajua kabisa ugaidi sio maisha na wakaacha.
Last time Algeria ilifanya makubaliano na vikundi vya kigaidi na inatoa adhabu kali kwa extremists.

Hata Saudi Arabia ambako kwa mwaka wananyonga masheikh na Waislamu wenye misimamo mikali nako unasema Ufaransa ndio inawafundisha Quran na kuwaelekeza ugaidi? Saudia imenyonga watu 172 kwa mwaka jana pekee. Iran imenyonga watu zaidi ya 800 kwa mwaka jana pekee. Hao ndio waasisi wa Uislamu hawacheki na kima. Misri iliwaondoa Muslim Brotherhood na wamepigwa marufuku Saudi, Syria na kwingineko. Huko nako ni Ufaransa inawapeleka?

Nimewauliza katika mashambulizi hayo yaliyofanyika ni Mfaransa gani kafyatua risasi?
Au hayo magaidi ni manyani hayana akili yakiambiwa yaue yanaua?
Mbona hakuna mantiki kwenye andiko laki!?..walionyongwa saudia na Iran ni magaidi?!..kama Iran na saudia
Algeria ambao hawajiui kipuuzi ndio unasema Ufaransa imeshindwa. Algeria ilisimama yenyewe, serikali ikakaa wima na raia wakajua kabisa ugaidi sio maisha na wakaacha.
Last time Algeria ilifanya makubaliano na vikundi vya kigaidi na inatoa adhabu kali kwa extremists.

Hata Saudi Arabia ambako kwa mwaka wananyonga masheikh na Waislamu wenye misimamo mikali nako unasema Ufaransa ndio inawafundisha Quran na kuwaelekeza ugaidi? Saudia imenyonga watu 172 kwa mwaka jana pekee. Iran imenyonga watu zaidi ya 800 kwa mwaka jana pekee. Hao ndio waasisi wa Uislamu hawacheki na kima. Misri iliwaondoa Muslim Brotherhood na wamepigwa marufuku Saudi, Syria na kwingineko. Huko nako ni Ufaransa inawapeleka?

Nimewauliza katika mashambulizi hayo yaliyofanyika ni Mfaransa gani kafyatua risasi?
Au hayo magaidi ni manyani hayana akili yakiambiwa yaue yanaua?
We jamaa uko sawa kichwani!?.. algeria na kujiua na kumshindwa ufaransa vinahusiana nini!?.. saudia na Iran kunyonga wavunja sheria wao kunahusiana nini na burkina faso?..mbona huwezi jenga mantiki?
 
Up to 200 people killed in attack in central Burkina Faso

An armed group linked to al-Qaeda, Jama’at Nusrat al-Islam wal-Muslimin (JNIM), has claimed responsibility for what it says was an attack that killed up to 200 people and injured at least 140 in central Burkina Faso.

The attack took place on Saturday in the region of Barsalogho, about 40km (25 miles) north of the strategic town of Kaya, which analysts said is home to the last standing force protecting the capital, Ouagadougou.

Fighters opened fire on teams of people digging trenches designed to protect security outposts. Several soldiers were missing after the attack, and the attackers took weapons and a military ambulance.

Reporting from Dakar, Senegal, Al Jazeera’s Nicholas Haque said JNIM posted gruesome videos of the aftermath of the attack.

“We see men, women and children laying inside the trenches they were digging themselves. Effectively, they have turned into mass graves,” he said, adding that the hospital in the area has called doctors, nurses and other medical staff from Kaya to treat those who have been injured in the attack.

Haque noted that the Burkina Faso army knew on Friday that an attack was going to happen and called on the population to dig trenches.

“That shows the desperation of Burkina Faso’s forces, who have lost control of half of their territory to armed groups linked to al-Qaeda,” he added.

Burkina Faso has severed its ties with Western countries such as France that had been involved in helping the country’s security forces tackle armed groups.

Haque said that recently the government had been calling on the help of Russian mercenary fighters to support it strategically but also to help stem the attacks.

“Despite that help, it seems that those attacks are getting closer and closer to the capital,” Haque said. He noted that the country’s military leaders, who came to power in a coup in 2022, have also had to face down several attempted coups due to discontent with the way it has struggled with the fight against armed groups.

Source: Aljazeera
inaumiza sana kutumia dini safi ya uislam kutekeleza ugaidi
 
1. Kwanza tuwajue nani anawasuport hao Magaidi
Ukraine na Urusi wote kwa pamoja wamekiri Ukraine anahusika na hao magaidi
Hujui kwamba Wagner wako vitani na Ukraine tangu 2014?
Hili nalo unataka uelekezwe wakati liko wazi. Hujaiona Battle of Bakhmut?

Sasa kuna ajabu gani Ukraine kuwafuata Wagner popote walipo. Alafu kupigana na Wagner sio kussuport magaidi, au unataka kusema kwa vile Mali inashirkiana na Wagner basi Mali hiyohiyo walichangia kwenye vita ya Ukraine?
Serikali ya Mali na ushahidi mwengine wa Ufaransa kupeleka mapandikizi waliokamatwa.

So kuna Ushahidi usio na shaka hao wapo supported na west ku undermine Serikali za Africa.
Mapandikizi ya Ufaransa yakafundisha kwa Kiarabu Quran na Allah Akbar zinazotamkwa kabla ya kujilipua na kufyatulia raia risasi kwenye ugaidi?

Alafu mapandikizi ya Ufaransa yakafyatua akili za hao magaidi na kuchomeka idea za kigaidi vichwani mwao?
2. West na Ufaransa kulalamika hio habari ipo hadi humu natafuta link yake nitakuekea, walikua wakilalamika Wagner anatumia nguvu nyingi.
Hakuna kitu kama hiki West eti kulalamikia Wagner kuua magaidi. Wagner wanalalamikiwa kidiplomasia zaidi, sio acts za kudhibiti ugaidi.
 
Mbona hakuna mantiki kwenye andiko laki!?..walionyongwa saudia na Iran ni magaidi?!..kama Iran na saudia

We jamaa uko sawa kichwani!?.. algeria na kujiua na kumshindwa ufaransa vinahusiana nini!?.. saudia na Iran kunyonga wavunja sheria wao kunahusiana nini na burkina faso?..mbona huwezi jenga mantiki?
Saudi Arabia huwa wanakamata magaidi wa dini ileile ambayo magaidi wanakamatwa Iran na dini ileile ambayo magaidi wapo Burkina Faso, Niger, Nigeria, Mali na kwingine.

Saudia na Iran hawarembi mtu, ni panga shingoni na huwasikii wakililia sijui Marekani na Ufaransa imefundisha magaidi. Sasa hao Burkina Faso, Mali na Niger badala wapambane wao kila siku kuitaja Ufaransa. Algeria ndio Ufaransa iliwekeza zaidi, hakuna nchi ilipaniwa na Ufaransa kama Algeria ika hawana ugaidi waliacha. Sasa kwanini hao Francophones wengine wasiache?

China ingekaa inalalamika kila siku jinsi ikivyonyanyaswa na Japan si hadi sasa ingekuwa haijui hata kutengeneza daftari.
 
Saudi Arabia huwa wanakamata magaidi wa dini ileile ambayo magaidi wanakamatwa Iran na dini ileile ambayo magaidi wapo Burkina Faso, Niger, Nigeria, Mali na kwingine.

Saudia na Iran hawarembi mtu, ni panga shingoni na huwasikii wakililia sijui Marekani na Ufaransa imefundisha magaidi. Sasa hao Burkina Faso, Mali na Niger badala wapambane wao kila siku kuitaja Ufaransa. Algeria ndio Ufaransa iliwekeza zaidi, hakuna nchi ilipaniwa na Ufaransa kama Algeria ika hawana ugaidi waliacha. Sasa kwanini hao Francophones wengine wasiache?

China ingekaa inalalamika kila siku jinsi ikivyonyanyaswa na Japan si hadi sasa ingekuwa haijui hata kutengeneza daftari.
Sasa Iran mbona hunyonga wapinga serikali?!..tena idadi imeongezeka kwa kunyonga walioandamana mwaka juzi/jana,saudia hata ukikutwa na vitabu vya uchawi unanyongwa chapu, marekani kwenyewe wananyonga,tena juzi wamejaribu unyongaji mpya wa kutumia hydrogen,jitahidi uwe unajamba walau mara tatu kwa siku Ili upunguze chuki kwa jamii fulani
 
Hujui kwamba Wagner wako vitani na Ukraine tangu 2014?
Hili nalo unataka uelekezwe wakati liko wazi. Hujaiona Battle of Bakhmut?

Sasa kuna ajabu gani Ukraine kuwafuata Wagner popote walipo. Alafu kupigana na Wagner sio kussuport magaidi, au unataka kusema kwa vile Mali inashirkiana na Wagner basi Mali hiyohiyo walichangia kwenye vita ya Ukraine?

Mapandikizi ya Ufaransa yakafundisha kwa Kiarabu Quran na Allah Akbar zinazotamkwa kabla ya kujilipua na kufyatulia raia risasi kwenye ugaidi?

Alafu mapandikizi ya Ufaransa yakafyatua akili za hao magaidi na kuchomeka idea za kigaidi vichwani mwao?

Hakuna kitu kama hiki West eti kulalamikia Wagner kuua magaidi. Wagner wanalalamikiwa kidiplomasia zaidi, sio acts za kudhibiti ugaidi.
we jamaa shkamoo, UKRAINE wenyewe wamekiri kushirikiana na hao jihadist na chombo cha habari uingereza kinareport ila wewe upo bongo unabisha, endelea kudanganya wenzako, siku hizi umetoka kuwa great thinker umekuwa "joker thinker"
 
Wapigania dini!?..kila siku tunawaambia hayo makundi ni ya ulaya na marekani,baada ya kutimuliwa ufaransa huko mali, burkina faso na niger,tegemea mashambulizi hayo kuzidi
hamkemei lkn
 
Ugaidi hapo Burkina Faso umeanza hata kabla Ufaransa ajaenda, ukawepo akiwepo, na utaendelea akiwa hayupo. Hapo ukibadili dini ya nchi nzima wakawa makafiri ugaidi unaisha.
Vipi Congo wanaosumbua pia ni dini ya Magaidi?
 
Mtu mweusi anashika bunduki anauwa mweusi wenzake lawama anapewa Marekani. Hamtaweza kumaliza tatizo kwa kunyoshea watu vidole.

Kwanini Marekani asiwashawishi Wasabato, Walokole Au Wakatoliki? Kwanini inakua rahisi kuwashawishi wa imani hiyo?

Mara ya mwisho umewasikia lini kiongozi wako wa dini akiwakanya vijana kuhusu haya makundi?!

Kwanini juhudi za kuwananga Wagalatia kama mnavyotuita msizielekeze kwa hao vijana?
Angalia Congo pia utuambie ni watu wa dini gani wanaosumbua kule
 
Wapigania dini!?..kila siku tunawaambia hayo makundi ni ya ulaya na marekani,baada ya kutimuliwa ufaransa huko mali, burkina faso na niger,tegemea mashambulizi hayo kuzidi
Lakini Imani yenyewe Ina support umwagaji wa DAMU ndio mana ukisikia mauaji Kwa makundi yakiislam hatushangai. Ni Imani Yao inawatuma hivyo
 
Ugaidi hapo Burkina Faso umeanza hata kabla Ufaransa hajaenda, ukawepo akiwepo, na utaendelea akiwa hayupo. Hapo ukibadili dini ya nchi nzima wakawa makafiri ugaidi unaisha.
Huo unaowaita makafiri ndio nchi zao zote Zina amani, ninyi washikilia dini hata tukikuambia ukaishi alipoishi mtume Leo hauwezi maliza mwezi. Utajiua mwenyewe.

Ukristo ni Upendo wa Mungu, ni Imani ya uhusiano na Mungu ndio maana popote pale mwislam aendapo Kuna wakristo anajua kapata amani
 
Ugaidi hapo Burkina Faso umeanza hata kabla Ufaransa hajaenda, ukawepo akiwepo, na utaendelea akiwa hayupo. Hapo ukibadili dini ya nchi nzima wakawa makafiri ugaidi unaisha.
Nikukumbushe tu, Huyo Huyo mtume wenu aliewaambia mkiwa mnafarakana katika Imani yenu rejeeni hadithi kutoka Kwa Imani zilizowatangulieni yani wakristo na wayahudi, wewe Leo unatuita makafiri.

Hujielewi kabisa na haumjui Mungu kama unadhani dini inakupeleka Mbinguni
 
Why dini fulani ndio inapendwa na hayo makundi? Is there any correlation?
Imani Yao ilijengwa kwenye misingi ya vita na kuua yoyote asie kubaliana nao. Muislam unaweza mpokea na Kumpa ukarimu ila wakiongezeka wanakua wewe.

Hawana upendo ndani Yao Kwa sababu hawana Mungu moyoni mwao
 
Back
Top Bottom