Takriban watu 50 wamekatwa vichwa na wapiganaji wa Kiislamu nchini Msumbiji

Sasa ndio nimeelewa msimamo wako.
 
Vip waroma nao na genge lao walifanya nn unajua kama toka Zaman Roman empire ndio bado inashikilia rikod ya kuuwa watu wengi mpaka Sasa wakifatiwa na Mongolia
Ni kweli umeongea so kama waliacha huo ujinga na ukaisha. .. so ni jambo la kupingwa na kila mtu zama hizi... wanaoendeleza mauaji kisa Dini na imani za kulazimishana.... TUKEMEE haswa wale wanaoweka Mbele majina ya Mungu wa Imani za watu walio safi mioyoni...
 
Dah!...inaonekana Serikali ya Msumbiji haina uwezo tena wa kuwadhibiti hawa wahuni, mbaya zaidi siku zinavyozidi kusonga ndivyo wanazidi kupata nguvu zaidi ya kuendeleza unyama.

Ni vyema Msumbiji iyaangukie mataifa yenye uzoefu wa kukabiliana na magenge kama haya ili wasaidiwe hasa kimafunzo kwa wanajeshi wao mfano wa hizo nchi ni Israel, Marekani, Uturuki,Urusi,Uingereza....hata nchi za Africa kama Misri,Algeria zinaweza kuwa msaada kwao.
 
Aise,hapana mimi hata Mtwara tu sikanyagi,nasema siendi mikoa yote ya kusini,kwanza nafata nini uko na kichwa changu iki kichafu!
 
Yani wakatie kitumbua chao mchanga!!
 
Watajuana huko. Kama nia yao Tz tujichanganye wamebugi. Tunafanya yetu huku. Labda waje huku upande wa tz, na wakija tunachinja kimyakimya tunawala supu. Hata hatutangazi.
Waje mara ngapi,huoni hata kampeni hatukupeleka lindi na mtwara
 
Certified idiot.


Kwahiyo TBC- Dar Es Salaam wakitangaza habari za mtu kufa huko kigoma itakuwa ni uzushi kwasababu kigoma na dar Ni mbali ?


Hivi hicho kichwa umehifadhi matofali ya kuchoma badala ya ubongo
 
Watajuana huko. Kama nia yao Tz tujichanganye wamebugi. Tunafanya yetu huku. Labda waje huku upande wa tz, na wakija tunachinja kimyakimya tunawala supu. Hata hatutangazi.
Ndio zetu.
 
We Alah akibaru,kwa misimamo hiyo wamekuacha tu uwemo humu?.
 
Umeongea pumba. Wenyewe hata wakibaki peke yao,shida yao sio kutawala watu,shida yao ni kutawala maeneo yenye utajiri.
 
Watajuana huko. Kama nia yao Tz tujichanganye wamebugi. Tunafanya yetu huku. Labda waje huku upande wa tz, na wakija tunachinja kimyakimya tunawala supu. Hata hatutangazi.
Kwani unadhani hawajaja mkuu, sisi huku kwetu majuzi tu tumemzika mwanajeshi aliyekufa katika mapambano dhidi ya magaidi hao huko sijui mtwara. Walishaingia na mapambano yanaendelea ila Ni kimya kimya. Ndio maana kipind Cha kampeni hata bwana mkubwa hakwenda kupiga kampeni mikoa ya huko.
 
Hata Tz tu mkuu itawafuta hawa wajinga. Tatizo la nchi zetu hizi za kiafrika wanaona kusaidiana kuwateketeza hawa wajinga ni kuwakaribisha kufanya uharifu ndani mwako kama ilivyo tokea kwa kenya na alshabab. Lakini wasichokiona hawa magaidi wa kiislam hawa wenye misimamo mikali kwa siku za karibuni wanavamia tu mahala popote,bila kuangalia kama mna uhasama nao.
 
Aise,hapana mimi hata Mtwara tu sikanyagi,nasema siendi mikoa yote ya kusini,kwanza nafata nini uko na kichwa changu iki kichafu!
Je ukipewa uteuzi huko na chama chako cha Ccm utagoma kwenda?
 
Umeongea pumba. Wenyewe hata wakibaki peke yao,shida yao sio kutawala watu,shida yao ni kutawala maeneo yenye utajiri.
Unaona hizi pumba kwakua wewe ni kuku.
 
wewe ni mjinga usietaka kuelimika, rudia habari, BBC wanukuu chombo cha serikali kilicho nukukuu manusura wa tukio hilo

maneno mengi ujinga mtupu, mnakimbiliaga kujibu bila kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…