Takriban watu 50 wamekatwa vichwa na wapiganaji wa Kiislamu nchini Msumbiji

Hivi msumbiji hawana jeshi la kuweza kudhibiti hako kaeneo kadogo dhidi ya wanamgambo wabeba majambia
 
Certified idiot.


Kwahiyo TBC- Dar Es Salaam wakitangaza habari za mtu kufa huko kigoma itakuwa ni uzushi kwasababu kigoma na dar Ni mbali ?


Hivi hicho kichwa umehifadhi matofali ya kuchoma badala ya ubongo
Mi ndo maana sisikilizi Tbc kwani mara ngapi wametangaza habari ambazo si sahihi.Hivi vituo vya serikali ndio hasa vinakwenda na midundo ya mabeberu.Lakini muhimu ni hapo huyo muandishi alipoongeza kuwa wauwaji hao walikuwa wakitamka Allahu Akbar wakati mwenyewe hayuko Cabo huoni dalili za uzushi hapo.Hawa TBC si ndio waliowahi kutamka asilmia ndogo ya waislamu Tanzania bila uthibitisho wa kitakwimu na kinyume na takwimu za sensa za zamani zilizozingatia dini za watanazania.
We Mlaleo inaonekana kama ni wa jinsia ya kike kwa sababu wao ndio wepesi kudanganyika na umbea na maneno ya wajanja wajanja.Hatuwezi kushangilia ukatili wowote na waislamu ndio wenye vigezo vilivyotimia vya kupinga ukatili lakini pamoja na hivyo hatupendi kuletewa fitna na tukaingia kichwa kichwa na tukagombana kwa fitna hiyo.
Hiyo video unayosema huenda na mimi nimeiona lakini huyo jamaa anayetamka hivyo Allahu Akbar nishawahi kumsikia sehemu nyengine kwa sauti hiyo hiyo.Ni msanii fulani tu na hiyo video pengine imechezwa studio na kwenye vichaka fulani vya Tanzania au kwengineko.
 
Msaada wa kumuomba ndiyo mtihani , maana kuna mdau kadai kwamba sehemu zenye Mali zinajengwa mijengo mikubwamkubwa huyo mjenzi ni nani ?
Pili huyo mjenzi anaonekana ni bwana mkubwa yeye hafurahii ushindi kusonga mbele kwa hawa vyura?
 
Kwa hakika una malipo yako mbele ya mola wako kwa maneno yako haya uliyoaandika hapa.
 
Hakuna kitu kama hicho.Tahadhari sana na uzushi wa kijinga kama huo. Mimi nashikilia hakuna kikundi kama hicho Msumbiji na popote duniani.Ni habari tu.Wako waislamu wanakerwa na baadhi ya vitu vya kionevu lakini hawajawahi kujiunda kikundi na kuanza kupigana na kuwa na viongozi na kuagiza silaha na kuwa hawashindikani hata wakiwa katika kilomita mraba 1 basi daima wanapigwa na kesho wanaibuka tena. Uongo wa kipuuzi kabisa na yeyote mwenye akili ajitenge na uongo huo
Inawezekana Msumbiji kuna machafuko na watu wanauliwa lakini tumesikia idadi kubwa wanaouliwa ni waislamu na kuhamishwa maeneo yao.Kwanini vikundi hivyo viwepo maeneo yenye rasilimali tu za mafuta na gesi.Kwanini vikundi hivyo vinavyouwa watu uwanja wa mpira visiwepo Dar es salaam na Dodoma kwenye waislamu wengi.
Wapalestina ni watu wanaoteswa sana na waisrael na wana sababu za kupigana nao na zipo siku huwakamata baadhi ya askari wa kiyahudi na bado hawawauwi kwa kuwakata vichwa na wengi huwashikilia kama mateka kama ilivyokuwa kwa Gilard wamekaa naye miaka kadhaa ilhali walimkamata uwanja wa vita.Itakuwaje watu waitwe ISIS tu bila kujulikana wametokea wapi na wana sababu gani za uadui na watu wa Cabo halafu iwe inawauwa tu kwa kuwakata vichwa tena kwenye viwanja vya mpira .Habari za kizushi tu zenye malengo ya mbali ya kibeberu.
 
Hakuna uthibitisho kwamba kuna nchi inawasaidia wale wahuni hivyo kusema ''watatia kitumbua chao mchanga" inabaki kuwa hisia tu.
Mkuu pengine ata uwezo wetu kama nchi kununua risasi ni tatizo je kwa hao wahuni pesa ya risasi na mabomu wana pataga wapi!?
 
Mkuu, dunia ni kijiji kwa sasa, si juzi tu ulikuwa unafuatilia uchaguzi wa Marekani, wakati upo huku Buza
Kuna baadhi ya habari na mimi naweza kutia mdomo katika uchaguzi wa Marekani baada kuona kwenye Runinga lakini nani atakayeniamini nikisimama kwenye vijiwe huku nazungumzia mambo yaliyotokea ndani ya vyumba vya kupigia kura wakati mimi niko Buza.Lazima na mimi niwepo uwanjani ndipo nipate sifa ya kutoa taarifa za ndani.
Mwandishi aliyepo Maputo hata awe wa shirika gani la habari akijaribu kusema aliyosikia watu wakisema watu waliopo Cabo del Gado atakuwa hakuzingatia mantiki katika ushabiki wake wa kuleta fitna.Bora angesuburi atie chumvi siku atakaporipoti akifika huko.Wale wenye akili bado itabidi aangalie maneno yake anaweza akajikamatisha kuwa ni mzushi atakapotumia maneno yake vibaya kama walivyofanya wenzake.Mfano watu hamsini wakatwa vichwa.Kwanini utumie neno kukatwa vichwa na si kuuliwa. Neno kukatwa vichwa ni dalili za habari za fitna kujaribu kuunganisha na habari kama hizo zinazotajwa nchi nyengine duniani kwenye waislamu kwamba wanauwa kwa kukatwa vichwa.
 
Unaandika utumbu kama kichwani umejaza utumbo wa bata badala ya ubongo.
 
Reactions: PNC
Mwambie aende Negomano karibu kabisa na mto Ruvuma akale nyama ya porini. Akajifanye mjanja atakutana na wale askari wanaolinda daraja la umoja.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Hii dini ina ushetani mwingi sana, wenyewe huiita dini ya haki na kusingizia wazungu eti ndio hufadhili vikundi hivi vya kigaidi.
 
Dini imekuathiri sana, Hadi unakataa ukweli[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Reactions: PNC
Wewe unaepinga ulikuwa eneo la tukio na hukusikia wakisema "Allah Akbaru"?
Hivi mkristo ama budha hawezi kutamka allah Akbaru!? Kwa nini mnawabebesha dini ya kiislamu mambo yasiyo faaa!? Hao siyo waisalamu wanaofanya unyama huo, ni wahuni na wanatakiwa kushughulikiwa kama wahuni wengine!
 
Hivi mkristo ama budha hawezi kutamka allah Akbaru!? Kwa nini mnawabebesha dini ya kiislamu mambo yasiyo faaa!? Hao siyo waisalamu wanaofanya unyama huo, ni wahuni na wanatakiwa kushughulikiwa kama wahuni wengine!
Wapi nimesema ulichokiandika ?
 
Wapi nimesema ulichokiandika ?
Nasema kwa wote wanaonasibisha dini ya kiislamu na vikundi vya kihuni !!! Kwanza angalia title ya uzi huu. Eti ".....wapiganaji wa kiislamu..." halafu eti ili kudhibitisha madai yake mleta mada anasema walikuwa wanasema maneno ya " Allah akbaru"! Sasa maneno haya ndiyo useme ni wapiganaji wa Kiislamu. Uislamu hauagizi waislamu kuwachinja watu bila hatia! Ndiyo maana na sisitiza hao ni wahuni, wasihusishwe na waislamu. Waitwe majina wanayostahili mfano maharamia, majambazi, na mengine kama hayo.

Dunia ikikubali kuwaita majina wanayostahili wahuni/maharamia hawa tutakuwa na lengo moja la kutokomeza wahuni hawa. Dini ya kiislamu inahusishwa kwa hila nadhani na wafadhili wa wahuni hawa.
 
Kwa hiyo mkuu unakataa pia kuwa hao wavaa kobazi wakiwa wanafanya yao hawasemi Allah Akbar
 
Hakika mkuu umenena
 
Wewe jamaa ni una tatizo sehemu, maana hizo video wengi wetu tuliwaona wakitamka hayo maneno na sio hapo tu hata IS ya uarabuni huko wanataja sana wakitaka kuchinja lazima waseme Allah Akbar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…