Ndo hapo nashangaa,wahongwe mil 10 kwa sababu zip.Wakatae wapi kipindi linaonyeshwa live walikuwa wanavimba weee nitashika shiling mwisho naunga mkono kuna kitu, tena bora hata hiyo live walitoa.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Endelea na majungu watu wako siteKUNA TAARIFA ZINASAMBAA KWA KASI SANA ZINAZOMHUSISHA WAZIRI WA NISHATI, JANUARY MAKAMBA KUWAPA RUSHWA WABUNGE YA SHILINGI MILIONI 10 PAMOJA NA RUSHWA NYINGINE YA MAJIKO 300 YA GESI KWA KILA MBUNGE ILI KUMPITISHIA BAJETI YAKE ITAKAYOSOMWA WIKI HII.
MAWAZIRI WOTE WAMESOMA BAJETI ZAO HAWAJATOA RUSHWA YA AINA YOYOTE KWA WABUNGE ILI WAPITISHE BAJETI ZAO, KAMA WANANCHI TUNAOMBA TAKUKURU MSIPUUZE MADAI HAYA KWANI FEDHA ZINAZOTUMIKA KUHONGA WABUNGE NA KUNUNULIA MAJIKO YA GESI KUWAHONGA WABUNGE NI FEDHA ZETU WATANZANIA TUNAZOKATWA KODI KILA SIKU.
TUNAOMBA TAKUKURU SUALA HILI MSILIFUMBIE MACHO LIKO WAZI NA KILA MTANZANIA ANALIFUATILIA KWA KARIBU SANA KWANI KWENYE NCHI YETU HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA.
kuna watu wadhadhani coincidence ni lazima usubiri ijitokelezee tuu, waona mbali wana coincidencesisha coincidence!.Baada ya kusoma hapa ndio nimeanza kuamini hizo tetesi rasmi.
Mkongwe wewe ni Mwasheria mtu anagawa pesa kwa wabunge na anatoa majiko 300 kila mbunge na kesho ndio bajeti yake unasema ni jambo la kawaida?kuna watu wadhadhani coincidence ni lazima usubiri ijitokelezee tuu, waona mbali wana coincidencesisha coincidence!.
P
Kawaida sana, ingekuwa hiyo gesi na hayo majiko ni ya January, hapo ungesema rushwa, lakini gesi na majiko ni ya Taifa Gas, January hajatumia hata senti tano kuyanunua, mwenye gesi anatoa bure as part of CSR yake, kuna ubaya kuicoincidenceisha na bajeti yake?. Hapo rushwa iko wapi?. Is there any threat bajeti ya nishati ikakwama ila kuhalalisha wabunge wanalainishwa?.Mkongwe wewe ni Mwasheria mtu anagawa pesa kwa wabunge na anatoa majiko 300 kila mbunge na kesho ndio bajeti yake unasema ni jambo la kawaida?
Kama ni CSR ya Kampuni ya TAIFA GAS ingetolewa kwenye Halmashauri husika ambapo wabunge nao ni sehemu ya madiwani wa halmashauri husika na Baraza la Madiwani ndio lingepanga yakatumike maeneo gani na kwa uwazi. sasa kumpa mbunge ni hongo. Hoja yako inakuwa dhaifu sana. Pascal MayallaKawaida sana, ingekuwa hiyo gesi na hayo majiko ni ya January, hapo ungesema rushwa, lakini gesi na majiko ni ya Taifa Gas, January hajatumia hata senti tano kuyanunua, mwenye gesi anatoa bure as part of CSR yake, kuna ubaya kuicoincidenceisha na bajeti yake?. Hapo rushwa iko wapi?. Is there any threat bajeti ya nishati ikakwama ila kuhalalisha wabunge wanalainishwa?.
P