TAKUKURU chunguzeni utajiri wa kutisha wa timu ya Singida Black Stars

TAKUKURU chunguzeni utajiri wa kutisha wa timu ya Singida Black Stars

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Kila mwenye akili timamu lazima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.

2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,

Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.

4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.

Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano,
Ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake,
Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi

2 Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini
Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia.
Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwazi September

4 inalipa mishahara mkubwa
Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu
Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu Yao

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA.
Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana
Inawezekana hata wewe unachangia hiyo mishahara kama ambavyo unachangia ukinywa kinywaji Cha Azam wafanya biashara Wana mbinu za kuendesha na kuendeleza miradi ni pamoja na matangazo ya aina mbali mbali hata wafadhili
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano,
Ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake,
Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi

2 Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini
Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia.
Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwazi September

4 inalipa mishahara mkubwa
Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu
Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu Yao

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA.
Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana
 

Attachments

  • 5937980-bcb9919fca12dd1585f2d0437c369488.mov
    8.5 MB
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano,
Ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake,
Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi

2 Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini
Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia.
Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwazi September

4 inalipa mishahara mkubwa
Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu
Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu Yao

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA.
Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana
Unataka kusema kwamba hicho ni kichaka Cha utakatishaji wa Fedha chafu?
 
We unatakaje?? 😊😊... Kwani si uliwafunga ulipokutana nao
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.

2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.

4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.

Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.
 
TAKUKURU Ilikuwepo utawala wa Magu ..siku hizi hakuna neno linaitwa Laundring Money
 
Hii ndio picha halisi ya utawala wa awamu hii hasa aliyeko juu kabisaaa kuwa kaona sawa tu.

huhitaji kuwa na akili kujua kuna uchafu unaendelea hapo since very long time.
 
Back
Top Bottom