Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
HahahahaMimi nina akili ya kuuelewa hata upuuzi wako...ila sema ndo vile..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMimi nina akili ya kuuelewa hata upuuzi wako...ila sema ndo vile..
Once mbumbumbu always mbumbumbuHiyo bendi ya kampuni ya utopolo na sisiem
Zikapotea trillion mbili,na hela za plea bargain ziko china kwenye akaunti binafsiTAKUKURU Ilikuwepo utawala wa Magu ..siku hizi hakuna neno linaitwa Laundring Money
Inaumiza sna jamaa Badla hata afungue kiwanda yey ana poteza pesa za kwa Watu wanneTimi hizi zenye nasaba na Neno "Singida" zinamilikiwa na boss Wa fedha Wa Nchi. Kuna wakati alitemwa uwaziri hadi timu ikashuka daraja. Ss wakati huu yupo kwenye minyama anajipakulia tu anavyotaka. Amesajili hadi wachezaji 20 Wa kigeni huku akijua, kwa mujibu Wa kanuni, anaweza kuwatumia 12 tu. Ndo ss kaanza na kuwapa uraia Wa fast track wengine. Wengine anawatoa kwa mkopo kwenye timu zingine. Yaan ana hela nyingi hadi hajui afanyie nn..
Upo sahihi kipind kile jiwe alipo mtandika jiwe la kichwa timu ikawa hoi na singida united ikafa baada ya kurudishw na bi mkubwa na timu imerudi chapu kwa haraka na ukwasi wa ajabu na ina uwezo wa kufanya chochote na isiguswe dadadekiSiku akitolewa pale wizarani na rimu inakufa,kodi zetu hizo
Zingatia hili jina!.....Singida
Hizo pesa ndizo zinatumika yanga pia.Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star
1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.
2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.
3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.
4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.
5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.
6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.
Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Yule boss wenu Utopwinyo, "gusa achia tukanywe thupu: ang'olewe kule kwenye fuko la hela la Taifa.Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star
1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.
2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.
3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.
4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.
5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.
6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.
Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Kaka cjaelewa "mafa" ni nin? Au ni maafaAngalia maudhui ya mafa
Noted mkuuMada
Kodi zetu bosi Mwigulu na mama anamchekea kwani wanaziponda pamojaKila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star
1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.
2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.
3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.
4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.
5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.
6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.
Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
AiseeKila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star
1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.
2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.
3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.
4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.
5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.
6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.
Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni