TAKUKURU chunguzeni utajiri wa kutisha wa timu ya Singida Black Stars

TAKUKURU chunguzeni utajiri wa kutisha wa timu ya Singida Black Stars

Ila watu weusi ni shida sana unakuta jitu lipo huko serikalini limeiba mihela lenyewe linaona ni bora kumiliki team ya mpira, wakati lingeweza kutumia hizo hela kufungua kiwanda kikubwa tu ambacho kingesaidia kunyanyua uchumi nk. Angalia wazungu wanaiba madini Congo na sehemu nyingine lakini wanenda kuwekeza kwenye mataifa yao.
 
Timi hizi zenye nasaba na Neno "Singida" zinamilikiwa na boss Wa fedha Wa Nchi. Kuna wakati alitemwa uwaziri hadi timu ikashuka daraja. Ss wakati huu yupo kwenye minyama anajipakulia tu anavyotaka. Amesajili hadi wachezaji 20 Wa kigeni huku akijua, kwa mujibu Wa kanuni, anaweza kuwatumia 12 tu. Ndo ss kaanza na kuwapa uraia Wa fast track wengine. Wengine anawatoa kwa mkopo kwenye timu zingine. Yaan ana hela nyingi hadi hajui afanyie nn..
 
Timi hizi zenye nasaba na Neno "Singida" zinamilikiwa na boss Wa fedha Wa Nchi. Kuna wakati alitemwa uwaziri hadi timu ikashuka daraja. Ss wakati huu yupo kwenye minyama anajipakulia tu anavyotaka. Amesajili hadi wachezaji 20 Wa kigeni huku akijua, kwa mujibu Wa kanuni, anaweza kuwatumia 12 tu. Ndo ss kaanza na kuwapa uraia Wa fast track wengine. Wengine anawatoa kwa mkopo kwenye timu zingine. Yaan ana hela nyingi hadi hajui afanyie nn..
Inaumiza sna jamaa Badla hata afungue kiwanda yey ana poteza pesa za kwa Watu wanne
 
Siku akitolewa pale wizarani na rimu inakufa,kodi zetu hizo
Upo sahihi kipind kile jiwe alipo mtandika jiwe la kichwa timu ikawa hoi na singida united ikafa baada ya kurudishw na bi mkubwa na timu imerudi chapu kwa haraka na ukwasi wa ajabu na ina uwezo wa kufanya chochote na isiguswe dadadeki
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.

2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.

4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.

Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Hizo pesa ndizo zinatumika yanga pia.
Zinachotwa tu

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.

2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.

4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.

Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Yule boss wenu Utopwinyo, "gusa achia tukanywe thupu: ang'olewe kule kwenye fuko la hela la Taifa.
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.

2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.

4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.

Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Kodi zetu bosi Mwigulu na mama anamchekea kwani wanaziponda pamoja
 
Kila mwenye akili timamu laZima ajiulize chanzo cha ukwasi wa timu ya Singida Black Star

1. Hii timu inamilikiwa na nani? Mbona boss yupo kwenye mabano, ingekuwa kama Azam ya tajiri Bakhresa, Ken Gold ya tajiri wa madini Kenneth, Fountain Gate nayo ina boss wake. Kuna timu za taasisi, Wanachama, na majeshi.

2. Singida Black Star haina hata Wanachama wanaofika 100.

3. Singida Black Star ina nguvu kubwa ya ushawishi serikalini. Hii timu imetushtua Kwa kuishawishi taasisi kubwa kama Uhamiaji kutoa vibali Kwa haraka kupata uraia. Kisheria mtu inatakiwa akae nchini miaka 10 nchini, na awe amekaa nchini Kwa miezi 12 bila kutoka,
Sasa hawa wachezaji wamefika nchini mwezi September.

4. Inalipa mishahara mkubwa. Hii timu inalipa mishahara mkubwa na vyanzo vya biashara Yao ya wachezaji haiko wazi.

5. Imetoa wachezaji wake Kwa mkopo isipokuwa timu 4 tu. Hii ni idadi kubwa ya wachezaji inayowalipa wakiwa wanacheza nje ya timu yao.

6. Sina uhakika na ulipaji wao wa Kodi TRA. Hili Sina uhakika nalo sitaliongelea sana.

Soma>> Singida Black Stars yawabadilisha Uraia wachezaji wanne wa Kigeni na kuwa raia wa Tanzania ili Kukidhi Kanuni
Aisee
 
Tangu umeijua Takukuru ,imewahi kumkamata kigogo gani? au kesi gani kubwa ya rushwa Takukuru walihusika? au nchi hii vigogo wote ni safi?
images.jpg
 
Back
Top Bottom