Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.
Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.
Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.
Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.
Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.
Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.
Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.
Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.
Mimi sijawahi kusikia hata moja.
Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?
Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.
Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.
Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.
Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.
Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.
Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.
Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.
Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.
Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.
Mimi sijawahi kusikia hata moja.
Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?
Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.
Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.