TAKUKURU haiwezi na haina mamlaka ya kubambikizia mtu kesi

TAKUKURU haiwezi na haina mamlaka ya kubambikizia mtu kesi

Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.


Naona bado una hangover za kunywa sana wanzuki
 
Afadhali wewe umeelewa mkuu. Jamaa zako hapo juu badala ya kunitajia hizo kesi walau moja wameshindwa.

Mpaka nimeleta hoja hii nimefanya research nikagundu wengi hawaielewi hii issue.
Una uwezo wa kubishana na rais?
 
Tangu juzi mitandao na magazeti yamefurika taarifa kwamba TAKUKURU wamefuta kesi 147 walizobambikizia watu.

Watanzania wote tumekuwa kama vipofu bila kuchambua sheria ya TAKUKURU inasemaje kuhusu uwezekano au kutowezekana jambo hilo.

Ukiisoma sheria hiyo utaona kwamba PCCB haina kifungu cha kumpeleka mtu mahakamani.

Hata kama TAKUKURU wakihusika wao huishia kuchunguza uwezekano wa rushwa na kupeleka file kwa DPP.

Mfano ni kesi ya Kangi Lugola iliyoko TAKUKURU haiko mahakama yoyote nadhani ama file halijaenda kwa DPP au liko kwa DPP lakini hajalipeleka mahakamani.

Huu ni mfano mdogo wa jinsi TAKUKURU isivyoweza kubambikizia watu kedi wakajazana mahabusu. Hawana kifungu hicho.

Anayepeleka watu mahakamani ni DPP na siyo Takukuru.

Lakini hata usingeijua sheria hebu jiulize swali dogo kwamba je ni kesi gani au kesi ngapi za TAKUKURU ulishawahi kuzisijia mahakamani, bila kujali ni za kubambika au la.

Mimi sijawahi kusikia hata moja.

Jiulize swali jingine, hizo kesi 147 zilifunguliwa mahakama ipi?

Mimi sijawahi kusikia hata moja labda wewe na kama umedhasikia tujulishe tusiozijua.

Hivyo wengi wakiwemo waandishi wamelivamia hili suala bila kusoma sheria ya PCCB inasemaje.



Acheni Upumbavu wenu mkiona Jambo lolote Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa nchi anasema Suala fulani au hata Kulikemea jua ( jueni ) kwa 100% ni sahihi na ana uhakika nalo kwakuwa Wasaidizi wake makini wamempa Uthibitisho kamili tena hata na Ushahidi wa ama Kinyaraka au Sauti ameonyeshwa na kusikilizishwa.
 
Umesahau kipindi kile katiba na sheria vilikanyagwa bila kujali lolote?
Unatakiwa kuanza kuelewa kwanini tunasema katiba mpya ni yalazima kwa ustawi na maendeleo ya nchi yetu.
 
Back
Top Bottom