LGE2024 TAKUKURU hawana meno kwenye rushwa ya uchaguzi wa ndani CCM?

LGE2024 TAKUKURU hawana meno kwenye rushwa ya uchaguzi wa ndani CCM?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Wananchi wa mkoa wa Dar es salama wameandamana mpaka kwenye ofisi zao, wakilalamika juu ya Rushwa, na kuiba kura kwa baadhi ya watinia nia ya uchanguzi wa serikali za mitaa.

Swali je, TAKUKURU hawana meno kwa CCM? Chanzo East Africa Tv.

=======
Wanachama wa chama cha Mapinduzi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam wamendamana wakiwa na mabango katika ofisi za makao makuu ya chama kwa kile wanachodai kuwepo kwa wizi wa kura na rushwa katika uchaguzi wa kura za maoni.

Wanachama hao kutoka Chanika, Buguruni, Tandika, na Ukonga nje ya Ofisi za makao makuu ya chama Mkoa wamesema fujo zimekithiri sana katika uchaguzi kutokana na wagombea ambao muda wao umeshapita na kukosa ushawishi kutaka kurudi kwenye madaraka pamoja pamoja na rushwa iliyokithiri.

“Fujo zimekithiri sana kwa sababu ya wagombea walio tangulia walishakosa sifa za kurudi kwenye madaraka yao ambayo wao wameyang’ang’ania lakini kitu cha pili ni rushwa kwanzia ngazi ya tawi kata mpaka wilaya. Imefika wakati wagombea hawa wamepewa nguvu bila sababu za msingi”

Amesema mwanachama wa CCM Aidha itakumbukwa kwamba fujo hizo katika kura za maoni zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara katika mikoa mbalimbali nchini ikiwepo Mkoani Manyara pamoja na Mkoani Kigoma
 
TAKUKURU huwa hawawezi kufanya Kazi ndani ya ccm
 
Kuna Kazi ngumu sana ndani ya inchi yetu
 
ccm
 

Attachments

  • IMG_8491.jpeg
    IMG_8491.jpeg
    109.1 KB · Views: 6
Wananchi wa mkoa wa Dar es salama wameandamana mpaka kwenye ofisi zao, wakilalamika juu ya Rushwa, na kuiba kura kwa baadhi ya watinia nia ya uchanguzi wa serikali za mitaa.

Swali je, TAKUKURU hawana meno kwa CCM? Chanzo East Africa Tv.

=======
Wanachama wa chama cha Mapinduzi kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam wamendamana wakiwa na mabango katika ofisi za makao makuu ya chama kwa kile wanachodai kuwepo kwa wizi wa kura na rushwa katika uchaguzi wa kura za maoni.

Wanachama hao kutoka Chanika, Buguruni, Tandika, na Ukonga nje ya Ofisi za makao makuu ya chama Mkoa wamesema fujo zimekithiri sana katika uchaguzi kutokana na wagombea ambao muda wao umeshapita na kukosa ushawishi kutaka kurudi kwenye madaraka pamoja pamoja na rushwa iliyokithiri.

“Fujo zimekithiri sana kwa sababu ya wagombea walio tangulia walishakosa sifa za kurudi kwenye madaraka yao ambayo wao wameyang’ang’ania lakini kitu cha pili ni rushwa kwanzia ngazi ya tawi kata mpaka wilaya. Imefika wakati wagombea hawa wamepewa nguvu bila sababu za msingi”

Amesema mwanachama wa CCM Aidha itakumbukwa kwamba fujo hizo katika kura za maoni zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara katika mikoa mbalimbali nchini ikiwepo Mkoani Manyara pamoja na Mkoani Kigoma
Wenyewe ni sehemu ya tatizo hayo meno labda yawe kibogoyo
 
Ni shida sana, kuna tasisi, zipo nyingi sana zinafanya Kazi kama idara ya ccm, tiss na TAKUKURU,
 
Takukuru Bora tu ingefutwa maana inakula pesa za Bure tu.
 
Watakwambia wameokoa bilioni xxx za walimu zilizokuwa zimeibiwa na kausha damu.
Hicho ni kitengo cha kuendeleza rushwa; Takukuru ni sehemu ya kutisha watu na kupokea rushwa, ukiwa sirious sana nchi hii utakufa kabla ya siku zako....tuendelee kuiba wenda wananchi watashtuka mbeleni kauli ya viongozi.
 
Watakwambia wameokoa bilioni xxx za walimu zilizokuwa zimeibiwa na kausha damu.
Hicho ni kitengo cha kuendeleza rushwa; Takukuru ni sehemu ya kutisha watu na kupokea rushwa, ukiwa sirious sana nchi hii utakufa kabla ya siku zako....tuendelee kuiba wenda wananchi watashtuka mbeleni kauli ya viongozi.
Tukiiba kizazi kijacho kitaishi vp mkuu
 
Amesema mwanachama wa CCM Aidha itakumbukwa kwamba fujo hizo katika kura za maoni zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara katika mikoa mbalimbali nchini ikiwepo Mkoani Manyara pamoja na Mkoani Kigoma
Mnawalaumu TAKUKURU bure tu, hiyo 2020 walimpa JPM list ya watoa rushwa kwenye kura za maoni CCM ila JPM hakumkamata hata mmoja ulitegemea wao waweze? CCM wanalindana sana
 
Back
Top Bottom