LGE2024 TAKUKURU hawana meno kwenye rushwa ya uchaguzi wa ndani CCM?

LGE2024 TAKUKURU hawana meno kwenye rushwa ya uchaguzi wa ndani CCM?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Mnawalaumu TAKUKURU bure tu, hiyo 2020 walimpa JPM list ya watoa rushwa kwenye kura za maoni CCM ila JPM hakumkamata hata mmoja ulitegemea wao waweze? CCM wanalindana sana

Inchi yetu hatuna uwadilifu na uwajibikaji, kila kona rushwa
 
Back
Top Bottom