TAKUKURU ichunguze mchakato wa kumpa kazi kocha mbovu Ninje

Sasa hivi kawa Mkurugenzi wa Ufundi !
 
Hii nafasi ilitangazwa rasmi? au ndio toa huyu weka yule

Pia mwenye kujua majukumu ya kila siku ya mkurugenzi wa Ufundi TFF atuwekee ,maana hiki cheo ni zaidi ya Kocha Mkuu na Makocha wote wazawa

Km ni mipango ya soka huyu ndio mwenye ramani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…