Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa vile hakuna sababu yoyote ya kitaalam wala ya kisoka itayomridhisha Mtanzania yeyote mpenda soka hata kama ni kipofu au kiziwi , basi bila shaka zipo sababu zingine zilizosababisha Kamati ya utendaji ya TFF kumpa ajira mtu ambaye si kocha na wala hana historia yeyote katika soka , na bila shaka sababu hizo ni zile zinazoendana na rushwa na utakatishaji wa pesa.
Haiwezekani waachwe makocha apewe timu binadamu mwingine yeyote tu .
Naiomba TAKUKURU ifanye kazi ili sisi wengine tujiridhishe .
Natanguliza shukrani .
Haiwezekani waachwe makocha apewe timu binadamu mwingine yeyote tu .
Naiomba TAKUKURU ifanye kazi ili sisi wengine tujiridhishe .
Natanguliza shukrani .