Tujiulize haya..kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
😂😁😀🤣😎😍😍😍😄😅😃😂😂😀😁😁😁😁😅😄😃🤣Inawezekana huyu jamaa anatafuta matokeo kwa namna yoyote ili kuwadanganya utopolo
Mashabiki viazi hasa wale wenye roho za kimaskini wanashida sana na haya maswali uliyojiuliza wala hawawez kuyafikiria muda huu,wengi hawapend mpira bali wanapenda tim na chuki zisizo na maana yoyote ile!Tujiulize haya..
1. Bahasha za khaki zimekatzwa kubebwa ?
2. Ukionekana tu na bahasha za khaki, maana yake unanunua matokeo?
Wewe jamaa umechanganyikiwa ama? Kwanini unaendeshwa kwa hisia badala ya kuzungumza kitu chenye uhakika?kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
We fala sana, kavunja sheria ipi kubeba nyaraka zake kwenye bahasha? Au posho ya wachezaji? Yaani awamu hii imetengeneza wapumbavu wengikuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Ndiyo nani huyu?kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873