TAKUKURU ifuatilie nyendo za Engineer Hersi

TAKUKURU ifuatilie nyendo za Engineer Hersi

kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.

Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.

View attachment 1654873
Waanze na ulimboka kwani alikamatwa na pesa za rushwa kabisa. Kwani ni kosa kutembea na bahasha hata kama ina hela?
 
kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.

Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Dawa imeanza kuwaingia vizuri eeeh.......timu yetu mbovu sana sasa mnahangaika na nini?
 
kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.

Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Huo uchafu upo Mikia kwenye pesa za kurithi.
 
kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.

Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Kwa hiyo hizo bahasha za kaki ndo zilifanya antibiotic Saido apige free kick ya ulaya? Nyie mikia subilini kipigo kutoka Kwa platinum!
 
Ila hii timu ina wajinga wengi mnooo!!
IMG-20201220-WA0070.jpg
 
Kashaona kwenye mabadiliko anafanya usanii sasa kakimbilia kununua mechi
 
kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.

Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Kwahiyo wachezaji wake wasipewe motisha mbona Alisha tangaza awali Kuna motisha kila mechi wanazo shinda . Na pia Mashabiki wa Yanga huwa wanakikundi Chao Cha motisha wanamoigia kula mchezaji na badae wanampa zawadi
 
Back
Top Bottom