desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
Tunahangaika mnatuharibia mpiraDawa imeanza kuwaingia vizuri eeeh.......timu yetu mbovu sana sasa mnahangaika na nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunahangaika mnatuharibia mpiraDawa imeanza kuwaingia vizuri eeeh.......timu yetu mbovu sana sasa mnahangaika na nini?
Tuwavumilie tu hao ni ndugu zetu japo ni wapuuzi kama unavyoonaSiyo shabiki wa hizi timu zenu mbili, lakini comment za kitoto kama alivyofanya mleta mada inanifanya niamini kuna tatizo kwa washabiki wa hii timu. Mtu analeta post ya kipuuzi halafu anaungwa mkono.?
Dawa inawaingia vizuri,soon mtanyoosha mikono juu
Kwahiyo kwa like goli la saido injinia hersi alihonga nini?Dawa inawaingia vizuri,soon mtanyoosha mikono juu
Waulize mikia,watasema kipa alihongwaKwahiyo kwa like goli la saidio inj8ni hersi alihonga nini?
Angalia hizo bahasha zipo 3 ,moja ya refa kati mbili za marefa wa pembeni
Acha u s e n g e mbuzi weeekuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Hivi huyu Hersi ndiyo kila Kitu Yanga SC na Mwenyekiti Mshindo Msola Yeye ni Mwangalizi tu wa Vitasa, Milango na Majengo ya pale Kaunda tu?kuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
Mwaka huu mtasema kila upuuziHivi huyu Hersi ndiyo kila Kitu Yanga SC na Mwenyekiti Mshindo Msola Yeye ni Mwangalizi tu wa Vitasa, Milango na Majengo ya pale Kaunda tu?
UnbeatableTimu lenyewe bovu
Unbeatable
Na utopolo walivyo Dulles wanafurahiiiInawezekana huyu jamaa anatafuta matokeo kwa namna yoyote ili kuwadanganya utopolo
Kumbe na wewe mwanasoka unatabia za kugushkuna kila dalili Engineer Hersi ananunua matokeo. hii hapa chini ni picha akiwa na bahasha za kaki katika moja ya mechi za ligi kuu ambazo ni yeye tu anaweza kutueleza kama humo ndani katia vitunguu au tangawizi.
Takukuru fuatilieni, huyu mtu ataharibu soka letu.
View attachment 1654873
And the pain is too much to bear. Its unbearable.... Its too painful....They just cant handle it!And the pain still remain in the streets of msimbazi
Hii itakua ni Hallucination!Hii ni dalili ya Mental Disorder