TAKUKURU ifuatilie nyendo za Engineer Hersi

Siyo shabiki wa hizi timu zenu mbili, lakini comment za kitoto kama alivyofanya mleta mada inanifanya niamini kuna tatizo kwa washabiki wa hii timu. Mtu analeta post ya kipuuzi halafu anaungwa mkono.?
Tuwavumilie tu hao ni ndugu zetu japo ni wapuuzi kama unavyoona
 
Hivi huyu Hersi ndiyo kila Kitu Yanga SC na Mwenyekiti Mshindo Msola Yeye ni Mwangalizi tu wa Vitasa, Milango na Majengo ya pale Kaunda tu?
 
Kumbe na wewe mwanasoka unatabia za kugush
 
Mbona liko wazi,msimu huu yanga wameungana kuhakikisha kivyovyote wanachukua kombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…