Takukuru Iringa, Fuatilieni kesi hii ya ndoa iliyokuwa Mahakama ya Mwanzo Bomani kwa Hakimu Rajabu muone aliyoyafanya

Takukuru Iringa, Fuatilieni kesi hii ya ndoa iliyokuwa Mahakama ya Mwanzo Bomani kwa Hakimu Rajabu muone aliyoyafanya

Naomba kwa dhati vyombo vyetu vya ulinzi na usalama fanyeni uchunguzi juu ya kesi hii,Mh Rajabu maamuzi uliyo yafanya katika shauri ulilolifanyia maamuzi tarehe 20/04/2022 linalo mhusu mtu anayefahamika kwa jina la Agatha kuhaga na Mumewe anayefahamika kwa jina moja la Nyenza ni kuinajisi sheria na kutokuwa na hofu na Mungu.

Mgawanyo wa mali ulioufanya una walakini.
  1. Kati ya viwanja 3 mwanamke mke 1
  2. Gari 3 mwanamke bila bila
  3. Pikipiki 4 mwanamke bilabila
  4. Bajaji 2 mwanamke bilabila

Kumbuka huyu mama ameachwa na watoto 2 wadogo. Na unajua pia mwanaume kamuacha mkewe kwa kuwa kapata Kimada mungine.

Halafu unasema apewe laki 1 ya matunzo kwa mwezi mhh.

Naomba kwa dhati kabisa serikali ifatilieni hukumu hii kuna mengi mtajifunza kwenye mahakama zetu.

Nafanya jitihada za kumpta huyu mama na namba zake ili nimuunganishe na watu wanaoweza kumsaidia.

Ila kwa taarifa zilizopo ni kwamba mkuu wa wilaya Iringa ameamua kuliingilia Jambo hili.
Mahakama haiingiliwi maamuzi yake kwa style hiyo,have you ever heard of the right to appeal? Basi nakushauri mkakate rufaa mahakama kuu mtapata haki yenu haki haitafutwi kwa upanga Kama ni haki yake atapewa hizo mali na matunzo otherwise sio lazima akae na watoto baba anaweza kuwatunza pia.

Ni rahisi sana kuongea kuhusu hukumu lakini hatujui kwa nini Mahakama imefikia huo uamuzi, suala la kuwepo kimada sio ishu lazima iwe proved na other mitigating factors.

Pia mali yawezekana nyingine hazikuwa matrimonial property kwa maana ya kwamba labda hizo nyumba nyingine alizkikuta kabla ya ndoa.

Kuna mambo mengi hapo suluhisho sio TAKUKURU, maana wao sio idara inayohusika na utoaji wa haki.

Hata ukisoma hiyo hukumu lazima na ni lazima imeandikwa haki ya kikata rufaa inaruhusiwa kwa anayeona hayatendewa haki.

Wahini mapema kabla muda wa kukata rufaa haujapita,, the Court is not your mother.
 
Baada ya kulata Rufaa pia afungue jalada la madai ya mgswa yo wa mali
Anapokata rufaa atalalamikia namna ambavyo hajaridhishwa na mgawanyo wa mali ulivyofanyika na Mahakama itapitia records upya na itatoa hukumu.

Kwenye rufaa hakuna facts Wala evidence mpya itakayoletwa zaidi ya zilizopo sasa Kama alijichanganya mwenyewe kwenye Mahakama ya chini then the Court of higher jurisdiction will be tied to concur with that ruling.

Ndio umuhimu wa mawakili inapokuja Ila ndio hivyo jamii yetu inaona Kama mawakili ni vishoio mwishoni wanalaumu Mahakama.

Katika level hii ya appeal aweke Wakili
 
Siamini kama hukuzaliwa kwa bahati mbaya.kwa mujibu wa taarifa zilizopo mali walichuma wote,na hata baadhi ya mali aliandika majina ya huyo dada
Siyo lazima mwanamke ashiriki kutafuta mali directly. Hata kitendo cha kubaki nyumbani kutimiza majukumu ya malezi na kazi za nyumbani inahesabika alishiriki kikamilifu. Mimi siyo mwanasheria bali ndivyo navyojua.
 
Kama Haujatidhika na maamuzi ya Uyo Hakimu Kata rufaa sio kupiga kelelee Hata uyo DC awezi batilisha iyo Hukum ispokua Mahakama ya Juu.Sasa kama mama alikua Mama wa Nyumbani ulitaka apewe nini???Nyie ndio mnao tupa wanaume shida na Mahaki yenu hayo.Sasa endeleeni Kupiga keleee JF badala ya kukata rufaa afu muda upite ndo Mtajua ignorance of Law has no excuse
Section 8 of penal code, ignoratia juris non excusant
 
Siyo lazima mwanamke ashiriki kutafuta mali directly. Hata kitendo cha kubaki nyumbani kutimiza majukumu ya malezi na kazi za nyumbani inahesabika alishiriki kikamilifu. Mimi siyo mwanasheria bali ndivyo navyojua.
Bi Hawa Versus Ally Seif hii kesi ndio ilitoa huu msimamo
 
Mahakama haiingiliwi maamuzi yake kwa style hiyo,have you ever heard of the right to appeal? Basi nakushauri mkakate rufaa mahakama kuu mtapata haki yenu haki haitafutwi kwa upanga Kama ni haki yake atapewa hizo mali na matunzo otherwise sio lazima akae na watoto baba anaweza kuwatunza pia.

Ni rahisi sana kuongea kuhusu hukumu lakini hatujui kwa nini Mahakama imefikia huo uamuzi, suala la kuwepo kimada sio ishu lazima iwe proved na other mitigating factors.

Pia mali yawezekana nyingine hazikuwa matrimonial property kwa maana ya kwamba labda hizo nyumba nyingine alizkikuta kabla ya ndoa.

Kuna mambo mengi hapo suluhisho sio TAKUKURU, maana wao sio idara inayohusika na utoaji wa haki.

Hata ukisoma hiyo hukumu lazima na ni lazima imeandikwa haki ya kikata rufaa inaruhusiwa kwa anayeona hayatendewa haki.

Wahini mapema kabla muda wa kukata rufaa haujapita,, the Court is not your mother.
Umetoia maelezo mazuri sana. Naona kuna watu hawajui nguvu ya mahakama.
 
Siyo lazima mwanamke ashiriki kutafuta mali directly. Hata kitendo cha kubaki nyumbani kutimiza majukumu ya malezi na kazi za nyumbani inahesabika alishiriki kikamilifu. Mimi siyo mwanasheria bali ndivyo navyojua.
Kitendo cha wewe kuwa na peace of mind iliyosababishwa na mke kwa kuwepo kwake hone wakati unatafuta mali, inatosha kuwa alishiriki utafutaji huo...
 
Bi Hawa Versus Ally Seif hii kesi ndio ilitoa huu msimamo
Tudadavulie kidogo ndugu yangu. Au kama una link ya hukumu naomba uniwekee. With respect! NB: Hivi Tanzania hakuna ndoa zile za kusema kinachochumwa na bwana ni cha bwana na kinachochumwa na mke ni cha mke? Nimeona kuna nchi nyingine wanandoa wanaweza kuamuwa kufunga ndoa za aina hii.
 
SI suala la gari au laki, sheria inasema nini?
Hapo sasa, watu wanadhani maamuzi ya Hakimu yanatoka kichwani kwake tu Kama vile mama anavyoamua kesi za wanae wanapigombana.

Maamuzi hutolewa baada ya kusikiliza facts of the case za pande zote na kusoma Sheria inasemaje pia Kuna kuangalia hukumu zilizopita za Mahakama za juu pamoja na vitavu ambavyo ndio authority kwenye uamuzi.

Hakimu hawezi kutoa hukumu ingali anajua wakubwa zake watazipitia tu. Otherwise nae Kama binadamu anaweza kupitiwa kidogo kwa kutoangalia Sheria kwa jicho la tatu hii ndio maana Kuna haki ya kikata rufaa.

Endapo atakata rufaa Mahakama za juu zitapitia ushahidi wote upya na kutoa maamuzi either kukubaliana na uamuzi wa huyo Hakimu au kutokubaliana na kutoa uamuzi tofauti.
 
Tudadavulie kidogo ndugu yangu. Au kama una link ya hukumu naomba uniwekee. With respect! NB: Hivi Tanzania hakuna ndoa zile za kusema kinachochumwa na bwana ni cha bwana na kinachochumwa na mke ni cha mke? Nimeona kuna nchi nyingine wanandoa wanaweza kuamuwa kufunga ndoa

Tudadavulie kidogo ndugu yangu. Au kama una link ya hukumu naomba uniwekee. With respect! NB: Hivi Tanzania hakuna ndoa zile za kusema kinachochumwa na bwana ni cha bwana na kinachochumwa na mke ni cha mke? Nimeona kuna nchi nyingine wanandoa wanaweza kuamuwa kufunga ndoa za aina hii.
Zipo version mbalimbali za hii kesi lakini ukiandika hiyo citation kwenye Google itakuja utasoma otherwise kuhusu Mali ya mume au mke kuwa yake pekee ni Ile tu ambayo uliichuma kabla ya ndoa Tena Kama ni nyumba isiwe Ile ambayo baabda ya ndoa uliifanya kuwa nyumba ya familia yako inapoishi hiyo itahesabiwa kuwa matrimonial home.

Pia Kama Kuna wakati wanandoa waliotengana kwa muda na mmojawapo au kila mmoja akachuma Mali basi Ile haitahesabiwa unless itaonekana Kuna pesa au chanzo chake ni mapato yaliyopatikana wakati mpo pamoja Sasa hapa ni suala la ushahidi ndio maana Mahakama haifungwi kusikiliza facts pekee.

Kesi zote za kuhusu mgawanyo wa Mali zilikuja baada ya 1983 zimefuata huu msimamo.

Otherwise enjoy the attached file for your further reference.
 

Attachments

Hapo umeona Kuna Rushwa au dhuluma?
Unequal distribution of properties aende kukata rufaa Mahakama ya juu siyo uchunguzi Tena pia inaonekana mtalikiwa alikubali tu ww nani unataka kuingilia Kati suala hili la wapendanao walioachana? Na je ni divorce au separation?
 
Naomba kwa dhati vyombo vyetu vya ulinzi na usalama fanyeni uchunguzi juu ya kesi hii,Mh Rajabu maamuzi uliyo yafanya katika shauri ulilolifanyia maamuzi tarehe 20/04/2022 linalo mhusu mtu anayefahamika kwa jina la Agatha kuhaga na Mumewe anayefahamika kwa jina moja la Nyenza ni kuinajisi sheria na kutokuwa na hofu na Mungu.

Mgawanyo wa mali ulioufanya una walakini.
  1. Kati ya viwanja 3 mwanamke mke 1
  2. Gari 3 mwanamke bila bila
  3. Pikipiki 4 mwanamke bilabila
  4. Bajaji 2 mwanamke bilabila

Kumbuka huyu mama ameachwa na watoto 2 wadogo. Na unajua pia mwanaume kamuacha mkewe kwa kuwa kapata Kimada mungine.

Halafu unasema apewe laki 1 ya matunzo kwa mwezi mhh.

Naomba kwa dhati kabisa serikali ifatilieni hukumu hii kuna mengi mtajifunza kwenye mahakama zetu.

Nafanya jitihada za kumpta huyu mama na namba zake ili nimuunganishe na watu wanaoweza kumsaidia.

Ila kwa taarifa zilizopo ni kwamba mkuu wa wilaya Iringa ameamua kuliingilia Jambo hili.
Kama mama hajaridhika akate rufaa mahakama ya juu zaidi ili apate haki yake kwa mujibu wa Sheria
 
Naomba kwa dhati vyombo vyetu vya ulinzi na usalama fanyeni uchunguzi juu ya kesi hii,Mh Rajabu maamuzi uliyo yafanya katika shauri ulilolifanyia maamuzi tarehe 20/04/2022 linalo mhusu mtu anayefahamika kwa jina la Agatha kuhaga na Mumewe anayefahamika kwa jina moja la Nyenza ni kuinajisi sheria na kutokuwa na hofu na Mungu.

Mgawanyo wa mali ulioufanya una walakini.
  1. Kati ya viwanja 3 mwanamke mke 1
  2. Gari 3 mwanamke bila bila
  3. Pikipiki 4 mwanamke bilabila
  4. Bajaji 2 mwanamke bilabila

Kumbuka huyu mama ameachwa na watoto 2 wadogo. Na unajua pia mwanaume kamuacha mkewe kwa kuwa kapata Kimada mungine.

Halafu unasema apewe laki 1 ya matunzo kwa mwezi mhh.

Naomba kwa dhati kabisa serikali ifatilieni hukumu hii kuna mengi mtajifunza kwenye mahakama zetu.

Nafanya jitihada za kumpta huyu mama na namba zake ili nimuunganishe na watu wanaoweza kumsaidia.

Ila kwa taarifa zilizopo ni kwamba mkuu wa wilaya Iringa ameamua kuliingilia Jambo hili.
Nafikiri Kanuni zipo wazi, kama Mtu hajaridhika na hukumu akate Rufaa kwenda Mahakama ya juu yake, bila shaka hiyo ni Mahakama ya mwanzo hivyo akate Rufaa kwenda Mahakama ya Wilaya.
 
Back
Top Bottom