LGE2024 TAKUKURU Iringa kuanzisha uchunguzi kuhusu wagombea wa serikali za mitaa kujitoa baada ya rushwa

LGE2024 TAKUKURU Iringa kuanzisha uchunguzi kuhusu wagombea wa serikali za mitaa kujitoa baada ya rushwa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Iringa Imeanzisha Uchunguzi wa Madai ya Uwepo Baadhi ya Wagombea wa Serikali za Mitaa kujitoa Kugombea Baada ya kupewa Rushwa.

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa, Domina Mkama ametoa Kauli Hiyo wakati akizungumzia Utendaji Kazi wa Taasisi Hiyo Katika Robo ya Tatu ya Mwaka 2024( July- September).

Soma: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

Amesema Kuwa TAKUKURU Imepokea Malalamiko Kutoka Baadhi ya Vyama vya Siasa Kuwa Kuna Watu Wanawarubuni wagombea Kujiondoa kwa Kuwapatia Fedha Ambapo Ametoa Wito Kwa Wananchi Wenye Taarifa Kutoa Ushirikiano kwa TAKUKURU.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Iringa Imeanzisha Uchunguzi wa Madai...jpg
Soma, Pia:
 
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Iringa Imeanzisha Uchunguzi wa Madai ya Uwepo Baadhi ya Wagombea wa Serikali za Mitaa kujitoa Kugombea Baada ya kupewa Rushwa.

Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa, Domina Mkama ametoa Kauli Hiyo wakati akizungumzia Utendaji Kazi wa Taasisi Hiyo Katika Robo ya Tatu ya Mwaka 2024( July- September).

Soma: Yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Iringa

Amesema Kuwa TAKUKURU Imepokea Malalamiko Kutoka Baadhi ya Vyama vya Siasa Kuwa Kuna Watu Wanawarubuni wagombea Kujiondoa kwa Kuwapatia Fedha Ambapo Ametoa Wito Kwa Wananchi Wenye Taarifa Kutoa Ushirikiano kwa TAKUKURU.
Soma, Pia:
  • Shinyanga: TAKUKURU yathibitisha uwepo wa rushwa kwenye Uchaguzi. Yadokeza Machawa kupelekwa Mbuga Za Wanyama na wapinzani kuhongwa ili wajitoe
  • Nachingwea: Asilimia 99 ya wagombea waliowekwa na CHADEMA waenguliwa kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa
Serious Takukuru wanachunguza rushwa?
 
Back
Top Bottom