Pre GE2025 TAKUKURU kuchunguza madai ya Rushwa ndani ya CHADEMA

Pre GE2025 TAKUKURU kuchunguza madai ya Rushwa ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vipi kuhusu ripoti ya CAG juu ya wizi na upotevu wa mabilioni ya pesa za walipa kodi serikalini, hao TAKUKURU wameshughulikia vipi?!

Hilo hawezi kukujibu. Yeye huwa ni mpiga kelele kwenye mambo ya kipuuzi. Mleta mada, ni lini aliwahi kuleta hoja, halafu ukaisoma na kuona kuwa hii imetoka kwa mtu mwenye uelewa na settled mind?

Hata akileta taarifa ya tukio muhimu, atali-dilute na lugha ya unafiki wa kichawa, kiasi cha kuifanya hata hiyo taarifa nzima ionekane haina maana.
 
Chadema ni genge la wala rushwa,kiongozi wa kula ni Lissu, akipunjwa, anakuja kuropoka kwenye mikutano
 
Muziki wa TAKUKURU ni mnene sana... bora ufuatiliwe na polisi kuliko Takukuru.. balaa lao ni zito. CHADEMA kazi wanayo.

Hiyo taasisi imejaa wala rushwa wakubwa. Ukiripoti tukio la rushwa, kwao hulifanya hilo tukio kuwa ni biashara. Wataitumia hiyo taarifa kujipatia rushwa toka kwa mtuhumiwa. Ukiona mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ujue kuwa amegoma kuwapa rushwa au ameyoa rushwa, wanampeleka mahakamani kama sehemu ya usanii tu. Kama wamepokea rushwa, hata wakimpeleka mahakamani, watampeleka na vielelezo ambavyo wanajua mhusika hawezi kuingia hatiani.
 
Hiyo taasisi imejaa wala rushwa wakubwa. Ukiripoti tukio la rushwa, kwao hulifanya hilo tukio kuwa ni biashara. Wataitumia hiyo taarifa kujipatia rushwa toka kwa mtuhumiwa. Ukiona mtuhumiwa anafikishwa mahakamani ujue kuwa amegoma kuwapa rushwa au ameyoa rushwa, wanampeleka mahakamani kama sehemu ya usanii tu. Kama wamepokea rushwa, hata wakimpeleka mahakamani, watampeleka na vielelezo ambavyo wanajua mhusika hawezi kuingia hatiani.
Acha kuweweseka hapa.acha TAKUKURU wafanye kazi yao wa kukagua uchafu uliopo ndani ya CHADEMA. Mmezoea sana janja janja nyie nyumbu na madalali wa kisiasa.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Gazeti la Mwananchi limeripoti ya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni amesema ya kuwa watachunguza na kufuatilia tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA.

Rai yangu ni kuwa ni muda sasa Lissu akatoe ushahidi wake wa Vitendo vya rushwa. Maana Lissu ndio amesikika akitoa kauli za kudai kuwa kuna Vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA. Kama alikuwa anaongea bila ushahidi kwa lengo la kuchafua tu watu,basi ajuwe anakwenda kuumbuka sana na kupata aibu isoyofutika.

Sina mengi na sitaki kuwachosheni kwa andiko refu wakati huu ambao mmepumzika baada ya pilika pilika za kutwa nzima. Kwa undani zaidi kamata gazeti lako la mwananchi ulisome vizuri.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Asante kwa taarifa Mama kigani wa kambo
 
Acha kuweweseka hapa.acha TAKUKURU wafanye kazi yao wa kukagua uchafu uliopo ndani ya CHADEMA. Mmezoea sana janja janja nyie nyumbu na madalali wa kisiasa.

Usidhani watu wote humu ni machawa kama wewe. Wewe uchawa umekuondolea akili ya tafakari. Siamini kama akili yako inaishia kwenye uwezo unaouonesha hapa JF.

Kila mwenye akili timamu na mwenye hekima angependa uwepo wa chombo chenye weledi, dhamira na commitment ya kupambana na rushwa iliyotapakaa kila mahali, hasa kwenye taasisi za umma na Serikali. Kwa bahati mbaya hatuna chombo kama hicho.

TAKUKURU, ni kama lilivyo jeshi la polisi, ni taasisi zinazoongoza kwa rushwa. Tunategemea taasisi zilizojaa uovu kupambana na uovu.

Kama kichwa chako kinafanya kazi japo kwa 20% ya average IQ, niambie TAKUKURU imewahi kuwakamata polisi wangapi wala rushwa. Na ufahamu kuwa kwenye report za kila mwaka, taasisi ya polisi imetajwa kuongoza kwa rushwa ikifuatiwa na mahakama.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Gazeti la Mwananchi limeripoti ya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni amesema ya kuwa watachunguza na kufuatilia tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA.

Rai yangu ni kuwa ni muda sasa Lissu akatoe ushahidi wake wa Vitendo vya rushwa. Maana Lissu ndio amesikika akitoa kauli za kudai kuwa kuna Vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA. Kama alikuwa anaongea bila ushahidi kwa lengo la kuchafua tu watu,basi ajuwe anakwenda kuumbuka sana na kupata aibu isoyofutika.

Sina mengi na sitaki kuwachosheni kwa andiko refu wakati huu ambao mmepumzika baada ya pilika pilika za kutwa nzima. Kwa undani zaidi kamata gazeti lako la mwananchi ulisome vizuri.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
KWANI RUSHWA /TAKRIMA NDANI YA CCM WALIKWISHAMALIZA?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Gazeti la Mwananchi limeripoti ya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Salum Hamduni amesema ya kuwa watachunguza na kufuatilia tuhuma za rushwa ndani ya CHADEMA.

Rai yangu ni kuwa ni muda sasa Lissu akatoe ushahidi wake wa Vitendo vya rushwa. Maana Lissu ndio amesikika akitoa kauli za kudai kuwa kuna Vitendo vya rushwa ndani ya CHADEMA. Kama alikuwa anaongea bila ushahidi kwa lengo la kuchafua tu watu,basi ajuwe anakwenda kuumbuka sana na kupata aibu isoyofutika.

Sina mengi na sitaki kuwachosheni kwa andiko refu wakati huu ambao mmepumzika baada ya pilika pilika za kutwa nzima. Kwa undani zaidi kamata gazeti lako la mwananchi ulisome vizuri.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
We ni kichaa, Lisu hakusema RUSHWA bali alisema hela zinatumika.

kwa akili zako za kipopo matumizi ya hela ni RUSHWA?
 
Back
Top Bottom