TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada.

TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada.

Tunawakumbushe TAKUKURU wafatilie sakata la mabehewa mabovu na vichwa vya treni wakibainika waliotia hasara wote wawe upinzani au hata chama tawala waburuzwe mahakamani bila ya kujali nyadhifa zao. Rais wetu mpendwa nyoosha nchi.
 
Haibadilishi maana utafika wakati naye atavuliwa nguo kwa waliyoyafanya.....JK alikubali EL ajivue uwaziri na akafurahia kukatwa jina lake kwenye kugombea lakini leo makaburi yake yanafukukiwa. Muda utafika JM naye atatoka kisha makaburi yake yakafukukuliwa...
tukikesha kuwatetea hawa wanasiasa wenye rangi zifananazo watatuona wajinga na kuufurahia ujinga wetu......



"tuwaache wafu wazikane"
Kwa kweli
 
Back
Top Bottom