TAKUKURU kwa sasa wanachunguza kashfa za RICHMOND, EPA na Rada.

Tunawakumbushe TAKUKURU wafatilie sakata la mabehewa mabovu na vichwa vya treni wakibainika waliotia hasara wote wawe upinzani au hata chama tawala waburuzwe mahakamani bila ya kujali nyadhifa zao. Rais wetu mpendwa nyoosha nchi.
 
Kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…