Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge viti Maalum sita mkoa wa Mara ambao wanadaiwa kuwa ni vinara waliohusika kutoa rushwa katika chaguzi za viti maalum mkoani humo.
Mkuu wa Takukuru Mara, Alex Kuhanda amesema kuwa hadi sasa wanawashikilia watu watano ambao walipewa fedha kutoka kwa wagombea wa Ubunge Viti maalum. Lakini pia tumekamata Milioni 3 laki 3 ambazo zilikuwa tayari kupelekwa kwa wajumbe, na Elfu 70 ilituponyoka baada ya mjumbe kuitumbukiza chooni
TT
Mkuu wa Takukuru Mara, Alex Kuhanda amesema kuwa hadi sasa wanawashikilia watu watano ambao walipewa fedha kutoka kwa wagombea wa Ubunge Viti maalum. Lakini pia tumekamata Milioni 3 laki 3 ambazo zilikuwa tayari kupelekwa kwa wajumbe, na Elfu 70 ilituponyoka baada ya mjumbe kuitumbukiza chooni