Uchaguzi 2020 TAKUKURU Mara: Mjumbe atumbukiza chooni Tsh. 70,000 asikamatwe. Tunawashikilia watano kwa kupokea rushwa kutoka kwa wagombea Viti Maalum

Uchaguzi 2020 TAKUKURU Mara: Mjumbe atumbukiza chooni Tsh. 70,000 asikamatwe. Tunawashikilia watano kwa kupokea rushwa kutoka kwa wagombea Viti Maalum

Hawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Huko kulikuwa na giza hivyo hawakuona mbele mkuu
 
Hawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Inaitwa double standard, lile zoezi lilikuwa linaongozwa na boss, sasa wangefanya nini? Hivi bado tu hujajua kuwa kuna watu wao wakitenda hewalaaa ila wewe ukitenda sheria inakukodolea macho?
 
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge viti Maalum sita mkoa wa Mara ambao wanadaiwa kuwa ni vinara waliohusika kutoa rushwa katika chaguzi za viti maalum mkoani humo.

Mkuu wa Takukuru Mara, Alex Kuhanda amesema kuwa hadi sasa wanawashikilia watu watano ambao walipewa fedha kutoka kwa wagombea wa Ubunge Viti maalum. Lakini pia tumekamata Milioni 3 laki 3 ambazo zilikuwa tayari kupelekwa kwa wajumbe, na Elfu 70 ilituponyoka baada ya mjumbe kuitumbukiza chooni

Ccm tena? Duh hawa watu hapana Aiseeee.
 
Hivi pesa za rushwa zikikamatwa huwa inakua mali ya nani, anarudishiwa mshitakiwa?
 
Kama TAKUKURU Wangekuwa kweli kazini Basi mahabusu zingejaa kipindi Cha Kura za maoni wakati wa mchakato wa kuwatafuta wagombea wa ubunge kutoka CCM.
 
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge viti Maalum sita mkoa wa Mara ambao wanadaiwa kuwa ni vinara waliohusika kutoa rushwa katika chaguzi za viti maalum mkoani humo.

Mkuu wa Takukuru Mara, Alex Kuhanda amesema kuwa hadi sasa wanawashikilia watu watano ambao walipewa fedha kutoka kwa wagombea wa Ubunge Viti maalum. Lakini pia tumekamata Milioni 3 laki 3 ambazo zilikuwa tayari kupelekwa kwa wajumbe, na Elfu 70 ilituponyoka baada ya mjumbe kuitumbukiza chooni

Hongereni TAKUKURU,keep it up.Kumbe tunaweza ilikuwa tu kwa sababu ya mfumo mbobu.Asante Magufuli.
 
Hii sijui hawajaiona?
 
Back
Top Bottom