Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Huko kulikuwa na giza hivyo hawakuona mbele mkuuHawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kulikuwa na giza hivyo hawakuona mbele mkuuHawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Tutaendelea kuongozwa na viongozi wabovu watoa rushwaChunguzeni pia uchaguzi uliofanyia Jimbo la Rorya hasa mgombea aliyeshika namba 2 kwenye kura za maoni. Rushwa imekuwa tatizo sana katika nchi yetu.
Inaitwa double standard, lile zoezi lilikuwa linaongozwa na boss, sasa wangefanya nini? Hivi bado tu hujajua kuwa kuna watu wao wakitenda hewalaaa ila wewe ukitenda sheria inakukodolea macho?Hawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Tangu lini ma nyigu yakaumanaHawa Takukuru mbon hawakun'gata wabunge wa upinzani waliponunuliwa? au walikosa makucha ya KUNG'ATIA? Lakini ata hawakufuatilia chochote
Ccm tena? Duh hawa watu hapana Aiseeee.Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge viti Maalum sita mkoa wa Mara ambao wanadaiwa kuwa ni vinara waliohusika kutoa rushwa katika chaguzi za viti maalum mkoani humo.
Mkuu wa Takukuru Mara, Alex Kuhanda amesema kuwa hadi sasa wanawashikilia watu watano ambao walipewa fedha kutoka kwa wagombea wa Ubunge Viti maalum. Lakini pia tumekamata Milioni 3 laki 3 ambazo zilikuwa tayari kupelekwa kwa wajumbe, na Elfu 70 ilituponyoka baada ya mjumbe kuitumbukiza chooni
Nasari wa CCM? Hata hamna logic kabisa, nadhani ni ushahidi fake.Ushahidi wa Nasari haikuwahi kuusikia au kuuona?
DuuuuuIle ilikuwa ni biashara, na pande zote ziliridhia. Takukuru haiwezi kumzuia Malaya asijiuze.
Akili za kuambiwa changanya na zako😂Kama ilitumbukia chooni, amejuaje kama ni sh. elfu sabini?
Nae kanunuliwa kwa bei gani kurudi CCM?Ushahidi wa Nasari haikuwahi kuusikia au kuuona?
Hongereni TAKUKURU,keep it up.Kumbe tunaweza ilikuwa tu kwa sababu ya mfumo mbobu.Asante Magufuli.Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mara inatarajia kuwahoji wagombea ubunge viti Maalum sita mkoa wa Mara ambao wanadaiwa kuwa ni vinara waliohusika kutoa rushwa katika chaguzi za viti maalum mkoani humo.
Mkuu wa Takukuru Mara, Alex Kuhanda amesema kuwa hadi sasa wanawashikilia watu watano ambao walipewa fedha kutoka kwa wagombea wa Ubunge Viti maalum. Lakini pia tumekamata Milioni 3 laki 3 ambazo zilikuwa tayari kupelekwa kwa wajumbe, na Elfu 70 ilituponyoka baada ya mjumbe kuitumbukiza chooni
Ndo maana unaambiwa na kushauliwa kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa kwa ofisi zao au through email, simu namba yao ya bure, sms ili kujenga uzalendoTakukuru Nyamagana wameanika tu pvmbu